yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
- Thread starter
- #21
26yrs ni shule gani hizo mkuu au memkwa?Umechoka upo kazini, au unasubiri shule zifunguliwe keshokutwa Jumatatu, ili uendelee na masomo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
26yrs ni shule gani hizo mkuu au memkwa?Umechoka upo kazini, au unasubiri shule zifunguliwe keshokutwa Jumatatu, ili uendelee na masomo!!
Nachojua utoto nikwenye romance tuMapenzi ni utoto. Kama hutaki utoto achana na mapenzi.
LabdaUlishawahi kumlomba huyo rafiki wa Dada ako?
Kama kweli jifunze kulomba vizuri itakua bado hujui
Bado sifkirii kuoa isipo kuwa nazungumzia mahusiano tanguUko 20's.. we bado mtoto Mkuu! Jijenge kwanza, the holly book tell us "uvuke umri wa ujana kwanza" ndio uwaze kuoa! Mara elfu ukwee mnazi kwa mkono mmoja kuliko kukimbilia katikati ya mapaja ya mwanamke angali umri bado!
Lengo la mahusiano ni nini Mkuu?Bado sifkirii kuoa isipo kuwa nazungumzia mahusiano tangu
Kwa taarifa yako, romance inafanya finishing ya utoto mliouanza.Nachojua utoto nikwenye romance tu
Dah,kumbe humu kuna mpaka watoto zetu..ngojea waje vijana wenzio kukupa ushauri baba!Wakuu habari zenu, natumai mu wazima wa afya. Changamoto yangu iko hivi niko 20s lakini sijawahi kupata mwanamke seriously wote wanautoto mwingi sana.
Jambo lilonifanya nifikirie kudate na wanawake wakubwa, finally nimempata huyu best ake sister nikidhani yuko matured lakini chakushangaza kila Jambo anasimulia dada yangu mbaya zaidi yuko 30s. Binafsi me ni mtu nisiependa utoto mwingi na kuweka wazi mahusiano yangu jambo hili linafanya nisiwe na amani napata shida hasa kumuangalia sister make utani nimwingi japo sio negative.
Je ni mimi niko nje ya wakati ama niko sahihi hasa amani? NB: natafta namna sahihi yakuachana nae au nakosea wakuu?
watoto anaoa mtoto mwenye mtoto kisha wazae mtoto "utoto ni mwingi"Hahahaha mtoto anatembea na mtoto mwenye mtoto.
Kama nini? Hutaki watu wajue mna mahusiano? And why is that?Mkuu ani kila jambo wanaweka open hata kama ukise.a hutaki
Hivi kati ya mwenye miaka 20 na huyu wa 30, nani mtoto..!!! Ukijiona kila unayeanza naye mahusiano unamuona ana utoto, jichunguze, inawezekana kabisa mwenye utoto ni wewe..!! Isije ikawa unakimbia kivuli chako.Wakuu habari zenu, natumai mu wazima wa afya. Changamoto yangu iko hivi niko 20s lakini sijawahi kupata mwanamke seriously wote wanautoto mwingi sana.
Jambo lilonifanya nifikirie kudate na wanawake wakubwa, finally nimempata huyu best ake sister nikidhani yuko matured lakini chakushangaza kila Jambo anasimulia dada yangu mbaya zaidi yuko 30s. Binafsi me ni mtu nisiependa utoto mwingi na kuweka wazi mahusiano yangu jambo hili linafanya nisiwe na amani napata shida hasa kumuangalia sister make utani nimwingi japo sio negative.
Je ni mimi niko nje ya wakati ama niko sahihi hasa amani? NB: natafta namna sahihi yakuachana nae au nakosea wakuu?
Yaani ni utoto mpaka mwisho.....watoto anaoa mtoto mwenye mtoto kisha wazae mtoto "utoto ni mwingi"
Anasimulia mambo ya chumbani jambo ambalo naona sio sawa tena kwa my sisyKama nini? Hutaki watu wajue mna mahusiano? And why is that?
Yeah iko hivyo kwangu mbaya zaidi anaona yuko sawa tu . Mfno umempa hichi au mlivyofanya anafikisha tena homeHiyo tabia ya kuambiana mambo ipo kwa ke wengi sana, mimi nilikua na slim mshangazi ana rafiki yake ambae tuna ukaribu pia. Nikaja kugundua kila tunachokifanya lazima amwambie rafiki yake, nilijua baada ya kuwa kila nikizingua kitu fulani shangazi akikwazika yule rafiki yake ananijulisha ili nisiharibu zaidi kwa kigezo cha kuwa anapenda mahusiano yetu.
Kuna siku huyu shem akaniambia jambo fulani na kusema kabisa aliona kwenye chats zetu, nikajisemea hapa hakuna usalama nikapata sababu ya kutokumtafuta, zimebaki lawama tu.
Yeah am still in 20thDah,kumbe humu kuna mpaka watoto zetu..ngojea waje vijana wenzio kukupa ushauri baba!