Utoto katika mapenzi!

Utoto katika mapenzi!

Wakuu habari zenu, natumai mu wazima wa afya. Changamoto yangu iko hivi niko 20s lakini sijawahi kupata mwanamke seriously wote wanautoto mwingi sana.
Jambo lilonifanya nifikirie kudate na wanawake wakubwa, finally nimempata huyu best ake sister nikidhani yuko matured lakini chakushangaza kila Jambo anasimulia dada yangu mbaya zaidi yuko 30s. Binafsi me ni mtu nisiependa utoto mwingi na kuweka wazi mahusiano yangu jambo hili linafanya nisiwe na amani napata shida hasa kumuangalia sister make utani nimwingi japo sio negative.

Je ni mimi niko nje ya wakati ama niko sahihi hasa amani? NB: natafta namna sahihi yakuachana nae au nakosea wakuu?
Dah,kumbe humu kuna mpaka watoto zetu..ngojea waje vijana wenzio kukupa ushauri baba!
 
Hiyo tabia ya kuambiana mambo ipo kwa ke wengi sana, mimi nilikua na slim mshangazi ana rafiki yake ambae tuna ukaribu pia. Nikaja kugundua kila tunachokifanya lazima amwambie rafiki yake, nilijua baada ya kuwa kila nikizingua kitu fulani shangazi akikwazika yule rafiki yake ananijulisha ili nisiharibu zaidi kwa kigezo cha kuwa anapenda mahusiano yetu.

Kuna siku huyu shem akaniambia jambo fulani na kusema kabisa aliona kwenye chats zetu, nikajisemea hapa hakuna usalama nikapata sababu ya kutokumtafuta, zimebaki lawama tu.
 
Wakuu habari zenu, natumai mu wazima wa afya. Changamoto yangu iko hivi niko 20s lakini sijawahi kupata mwanamke seriously wote wanautoto mwingi sana.
Jambo lilonifanya nifikirie kudate na wanawake wakubwa, finally nimempata huyu best ake sister nikidhani yuko matured lakini chakushangaza kila Jambo anasimulia dada yangu mbaya zaidi yuko 30s. Binafsi me ni mtu nisiependa utoto mwingi na kuweka wazi mahusiano yangu jambo hili linafanya nisiwe na amani napata shida hasa kumuangalia sister make utani nimwingi japo sio negative.

Je ni mimi niko nje ya wakati ama niko sahihi hasa amani? NB: natafta namna sahihi yakuachana nae au nakosea wakuu?
Hivi kati ya mwenye miaka 20 na huyu wa 30, nani mtoto..!!! Ukijiona kila unayeanza naye mahusiano unamuona ana utoto, jichunguze, inawezekana kabisa mwenye utoto ni wewe..!! Isije ikawa unakimbia kivuli chako.
 
Hiyo tabia ya kuambiana mambo ipo kwa ke wengi sana, mimi nilikua na slim mshangazi ana rafiki yake ambae tuna ukaribu pia. Nikaja kugundua kila tunachokifanya lazima amwambie rafiki yake, nilijua baada ya kuwa kila nikizingua kitu fulani shangazi akikwazika yule rafiki yake ananijulisha ili nisiharibu zaidi kwa kigezo cha kuwa anapenda mahusiano yetu.

Kuna siku huyu shem akaniambia jambo fulani na kusema kabisa aliona kwenye chats zetu, nikajisemea hapa hakuna usalama nikapata sababu ya kutokumtafuta, zimebaki lawama tu.
Yeah iko hivyo kwangu mbaya zaidi anaona yuko sawa tu . Mfno umempa hichi au mlivyofanya anafikisha tena home
 
Back
Top Bottom