Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kombolela sijui linachezeka siku hizi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bika kumsahau lodi lofa mzee alikuwana nyodo huyo. kmUmenikumbusha mbali sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kina Zena na Betina, Watoto mapacha, Madenge, na wale jamaa wa timu za mpira Bushmen na Maborn town.
Baadae ikaja Gazeti la Kiu kuna mwamba aliitwa Baba ubaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa kwenye gazeti la Sani umibamba sana... Nikiwa darasa la tano, Kuna jamaa yangu alikuwa anakuja sana na gazeti hili....stori ya mapung'o mcheza mpira... Kuna jamaa yangu mpaka sasa mtaani pale anaitwa jina hili maana alimpenda sana Mapung'o....Enzi hizo TV mnaangalia wikiend kwenye Banda la video tena inatoka mjini,Leo TV kila nyumba
Kuna siku mnakaa mnaamua kuhadithiana muvi za kina anord ya Jeni au komando kipensi,au jet li na maiko(tai chi ) alafu msioiona mnakuwa makini kusikiliza[emoji28]..leo nikienda Kwa bro watoto wake wakiniona wanalilia niwape simu wacheze gemu,dah namaind sn
Ukiwa na gazeti la sani unaenda nalo skuli Kisha anapewa mtu mmoja anayesoma vizuri anawasomea huku mmemzunguka..enzi hizo kina kipepe,sokomoko,mapung'o,ndumilakuwili,madenge wanatamba na wengi wetu hizi katuni tukidhani ni watu halisi na wanaishi dar
Tatizo dunia ya sasa mbaya kuliko ya nyumaSiku hizi vinafungiwa ndani tu vinaangalia Nickelodeon na Disney+. Yaani vitoto havina Personality wala Social Skills. Eti ndiyo maisha ya kizungu......
Dunia tambala bovu mazee......Tatizo dunia ya sasa mbaya kuliko ya nyuma
Pia tumeshakuwa wengi
Magofu hakuna sahvKombolela sijui linachezeka siku hizi ?
Hata siku hizo waliokuwepo red scorpions.Hichi kizazi cha panya road
Kupanda miti ya miembe na zambarau....kutingisha matawi ukiwa juu ili matunda yaanguke....sasa ngoja tawi ulilokalia likatike......Kulikuwa hamna swimming pool ni kuogelea mtoni na kwenye madimbwi
Sio kwamba wewe una angalau ya maisha au uko mjini? Je watoto wa kule kijijni nao wana maisha kama watoto wako wa kidijitali?Nikiwa Home nikiwaangalia watoto wangu naona kama utoto wao hauna kashikashi nyingi kama enzi zangu. Nikikumbuka enzi zile malezi yake kama jeshini vile..na taarifa nyingi tulikuwa tunafichwafichwa.
Mfano
(1) Akizaliwa mtoto Home, mnadanganywa mama ameenda kumnunua mtoto hospitali.
(2) Shuleni likipita gari la msalaba mwekundu, mwanafunzi mmoja akapiga yowe Mumianiiiii, nyonya damuuu, basi siku hiyo shule hamna masomo tena ni mbio kila kona.
(3) Kuna siku tulifungiwa maandazi kwenye gazeti la lugha la kiarabu mbaba mmoja akatutisha msile mtakuwa vichaa hiyo ni QURAN hiyo tukayatupa maandazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
(4) Mkitaka mpira wa miguu basi inabidi mkaokote Lylon kwenye maduka ya wahindi mtengene mpira ndio mcheze.
Lakini hawa Makamanda wetu wa Kidigitali Daah mambo yao soft sana, mpira wanataka uwanunulie dukani, hawajui hata Manati kazi yake nini, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata kuchomwa na miba za mbigiri miguu haziwachomi kutwa wamevaa viatu, hata mafunza miguuni hayawaingii.
Nilikuaga najua Mapung'o anaishi Dar na muda si punde angelamba usajiri kwenye moja ya vilabu vya kariakoo maana alikua anaupiga mwingi sanaEnzi hizo TV mnaangalia wikiend kwenye Banda la video tena inatoka mjini,Leo TV kila nyumba
Kuna siku mnakaa mnaamua kuhadithiana muvi za kina anord ya Jeni au komando kipensi,au jet li na maiko(tai chi ) alafu msioiona mnakuwa makini kusikiliza😅..leo nikienda Kwa bro watoto wake wakiniona wanalilia niwape simu wacheze gemu,dah namaind sn
Ukiwa na gazeti la sani unaenda nalo skuli Kisha anapewa mtu mmoja anayesoma vizuri anawasomea huku mmemzunguka..enzi hizo kina kipepe,sokomoko,mapung'o,ndumilakuwili,madenge wanatamba na wengi wetu hizi katuni tukidhani ni watu halisi na wanaishi dar
Hahaha..mapung'o ana kitovu km honi za wale jamaa wa lambalamba😅😅Nilikuaga najua Mapung'o anaishi Dar na muda si punde angelamba usajiri kwenye moja ya vilabu vya kariakoo maana alikua anaupiga mwingi sana
Nakumbuka mambo ya mechi uwanja wa Taifa...ilikuwa lazima kuingia uwanja wa Taifa kukiwa na mechi..shamba la bibi...ingawa tulikua hatupewi hela yeyote na wazazi.. Nazikumbuka njia tatu za kuzamia:Nikiwa Home nikiwaangalia watoto wangu naona kama utoto wao hauna kashikashi nyingi kama enzi zangu. Nikikumbuka enzi zile malezi yake kama jeshini vile..na taarifa nyingi tulikuwa tunafichwafichwa.
Mfano
(1) Akizaliwa mtoto Home, mnadanganywa mama ameenda kumnunua mtoto hospitali.
(2) Shuleni likipita gari la msalaba mwekundu, mwanafunzi mmoja akapiga yowe Mumianiiiii, nyonya damuuu, basi siku hiyo shule hamna masomo tena ni mbio kila kona.
(3) Kuna siku tulifungiwa maandazi kwenye gazeti la lugha la kiarabu mbaba mmoja akatutisha msile mtakuwa vichaa hiyo ni QURAN hiyo tukayatupa maandazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
(4) Mkitaka mpira wa miguu basi inabidi mkaokote Lylon kwenye maduka ya wahindi mtengene mpira ndio mcheze.
Lakini hawa Makamanda wetu wa Kidigitali Daah mambo yao soft sana, mpira wanataka uwanunulie dukani, hawajui hata Manati kazi yake nini, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata kuchomwa na miba za mbigiri miguu haziwachomi kutwa wamevaa viatu, hata mafunza miguuni hayawaingii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]au unaingia muda wa fungulia mbwa,dakika 5 kabla mpira haujaishaNakumbuka mambo ya mechi uwanja wa Taifa...ilikuwa lazima kuingia uwanja wa Taifa kukiwa na mechi..shamba la bibi...ingawa tulikua hatupewi hela yeyote na wazazi.. Nazikumbuka njia tatu za kuzamia:
1. Kuruka ukuta ndala mkononi
2. Kuomba kumsukuma mlemavu kwenye wheelchair ili uingie naye halafu mbeleni unamtosa na unatimua mbio
3.Kama Yosso
Mechi inatumia mpira mmoja tu ....ukitoka nje ya uwanja inabidi kusubiri walio nje waurushe ndani...au ukiangukia kwa mashabiki wanaweza wakaushikilia ili kupoteza muda kama timu yao imeshinda...
Dah ilikuwa raha sana