Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 393
- 735
Habari wadau. Nimewekeza kama 10m kwenye bond fund. Jana nimeona imeongezeka km elfu 30 kwenye account ya UTT.
Lakini pia nilijaza NMB account ndiyo niwe napata gawio langu na niliwekeza tarehe 26/8/2022, kwaiyo bado sina vigezo vya kupata gawio kwa mwezi huu, nafikiri mpaka mwezi ujao.
Sasa hii elfu 30 kwenye account ya UTT imetoka wapi, msaada kwa anaejua?
Lakini pia nilijaza NMB account ndiyo niwe napata gawio langu na niliwekeza tarehe 26/8/2022, kwaiyo bado sina vigezo vya kupata gawio kwa mwezi huu, nafikiri mpaka mwezi ujao.
Sasa hii elfu 30 kwenye account ya UTT imetoka wapi, msaada kwa anaejua?