UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

Thabit Karim

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
393
Reaction score
735
Habari wadau. Nimewekeza kama 10m kwenye bond fund. Jana nimeona imeongezeka km elfu 30 kwenye account ya UTT.

Lakini pia nilijaza NMB account ndiyo niwe napata gawio langu na niliwekeza tarehe 26/8/2022, kwaiyo bado sina vigezo vya kupata gawio kwa mwezi huu, nafikiri mpaka mwezi ujao.

Sasa hii elfu 30 kwenye account ya UTT imetoka wapi, msaada kwa anaejua?
 
Wakuu Jana nimefanikiwa kupata gawio la mwezi kwa mara ya kwanza tokea nilipowekeza.

Asante wadau wote mlionipa taarifa kuhusu UTT AMIS. Ndugu wanaosita kuwekeza huko wafanye hivyo kwani hawa jamaa ni real
IMG_2884.jpg
 
Back
Top Bottom