UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

Kama ni hivyo, hiyo biashara haifai
Tatizo kubwa la waafrika ni ubishi usiokuwa na maana yotote UTT Wana mifuko sita, thamani ya vipande inatofautiana, mtoa mada amezungumzia Bond fund ambapo bei ya kipande ni sh. 114 , amesema Kila kipande gawio ni sh. 1, sasa inategemea una vipande vingapi. Narudia tena tusiwe wabishi tutafute taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi.
 
Tatizo kubwa la waafrika ni ubishi usiokuwa na maana yotote UTT Wana mifuko sita, thamani ya vipande inatofautiana, mtoa madam amezungumzia Bond fund ambapo bei ya kipande ni sh. 114 , amesema Kila kipande gawio ni sh. 1, sasa inategemea una vipande vingapi. Narudia tena tusiwe wabishi tutafute taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi.

Bado hawaelwi.
 
Tatizo kubwa la waafrika ni ubishi usiokuwa na maana yotote UTT Wana mifuko sita, thamani ya vipande inatofautiana, mtoa madam amezungumzia Bond fund ambapo bei ya kipande ni sh. 114 , amesema Kila kipande gawio ni sh. 1, sasa inategemea una vipande vingapi. Narudia tena tusiwe wabishi tutafute taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi.
Bado haijakaa sawa, ina maana gawio itakuwa 0.0087 ya fedha uliyowekeza; mfano ukawekeza milioni 10, utapata gawio la 87,719.
NB: Hakuna taasisi ambayo iko tayari kukufanyia kazi wewe kwa faida
 
Bado haijakaa sawa, ina maana gawio itakuwa 0.0087 ya fedha uliyowekeza; mfano ukawekeza milioni 10, utapata gawio la 87,719.
NB: Hakuna taasisi ambayo iko tayari kukufanyia kazi wewe kwa faida

Milioni 10 gawio ni 88,390/= kwa kila mwezi. Hii ni hela kubwa mno kwa fedha iliyowekwa pending ktk biashara yaani iliyokuwa haina kazi. Hili gawio kwa cc walala hoi tunalipa bills nyingi sana kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom