rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Ila kipande kimoja unajua ni sh ngapi[emoji3][emoji3][emoji3] yani mbongo kapewa sh 1 toka kwenye sh 115 sijui alizoweka anaonaa kaulaaa[emoji1787]Kama anavipande 50,000 maana yake imeongezeka Tsh 50,000. Inategemeana na idadi ya vipande