Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 393
- 735
😀😀😀😀😀😀bado hawa amini kilichowapataWale wa Kylanda waje huku
Huku hawapawezi wanapenda pesa za haraka haraka.Wale wa Kylanda waje huku
Wakuu Jana nimefanikiwa kupata gawio la mwezi kwa mara ya kwanza tokea nilipowekeza.
Asante wadau wote mlionipa taarifa kuhusu UTT AMIS. Ndugu wanaosita kuwekeza huko wafanye hivyo kwani hawa jamaa ni real
View attachment 2383160
Mkuu tsh. 1! Bora kubetWakuu Jana nimefanikiwa kupata gawio la mwezi kwa mara ya kwanza tokea nilipowekeza.
Asante wadau wote mlionipa taarifa kuhusu UTT AMIS. Ndugu wanaosita kuwekeza huko wafanye hivyo kwani hawa jamaa ni real
View attachment 2383160
Aje afafanue hii moja ina thamani ya dollars ngapi ....naweka kambi hapaMkuu tsh. 1! Bora kubet
Kipande kimoja kinakua sawa na shilingi ngapi?Kama anavipande 50,000 maana yake imeongezeka Tsh 50,000. Inategemeana na idadi ya vipande
Lipia TangazoWakuu Jana nimefanikiwa kupata gawio la mwezi kwa mara ya kwanza tokea nilipowekeza.
Asante wadau wote mlionipa taarifa kuhusu UTT AMIS. Ndugu wanaosita kuwekeza huko wafanye hivyo kwani hawa jamaa ni real
View attachment 2383160
Mkuu tsh. 1! Bora kubet