Ila kipande kimoja unajua ni sh ngapi[emoji3][emoji3][emoji3] yani mbongo kapewa sh 1 toka kwenye sh 115 sijui alizoweka anaonaa kaulaaa[emoji1787]Kama anavipande 50,000 maana yake imeongezeka Tsh 50,000. Inategemeana na idadi ya vipande
Tatizo kubwa la waafrika ni ubishi usiokuwa na maana yotote UTT Wana mifuko sita, thamani ya vipande inatofautiana, mtoa mada amezungumzia Bond fund ambapo bei ya kipande ni sh. 114 , amesema Kila kipande gawio ni sh. 1, sasa inategemea una vipande vingapi. Narudia tena tusiwe wabishi tutafute taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi.Kama ni hivyo, hiyo biashara haifai
Shilingi Moja kwa mwezi ni kubwa sana kwasababu hujafanya kazi yotote hapoIla kipande kimoja unajua ni sh ngapi[emoji3][emoji3][emoji3] yani mbongo kapewa sh 1 toka kwenye sh 115 sijui alizoweka anaonaa kaulaaa[emoji1787]
Shilingi Moja kwa mwezi ni kubwa sana kwasababu hujafanya kazi yotote hapo
Tatizo kubwa la waafrika ni ubishi usiokuwa na maana yotote UTT Wana mifuko sita, thamani ya vipande inatofautiana, mtoa madam amezungumzia Bond fund ambapo bei ya kipande ni sh. 114 , amesema Kila kipande gawio ni sh. 1, sasa inategemea una vipande vingapi. Narudia tena tusiwe wabishi tutafute taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi.
Asee hapo inamaana 8,530,000 unapata 10K ili kupata laki 1 yabidi uwekeze 85,300,000Kipande 1=853
Mkuu natania tu this is a right wayHuku hakukufai mkuu, wewe nenda kafanye biashara nyingine,sisi tunatembea na principles za wealth creation.
Fungua website yao upate habari zaidi. Kipande kinatofautiana na mfukoKipande kimoja ni shilingi ngapi?
Bado haijakaa sawa, ina maana gawio itakuwa 0.0087 ya fedha uliyowekeza; mfano ukawekeza milioni 10, utapata gawio la 87,719.Tatizo kubwa la waafrika ni ubishi usiokuwa na maana yotote UTT Wana mifuko sita, thamani ya vipande inatofautiana, mtoa madam amezungumzia Bond fund ambapo bei ya kipande ni sh. 114 , amesema Kila kipande gawio ni sh. 1, sasa inategemea una vipande vingapi. Narudia tena tusiwe wabishi tutafute taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi.
Aliyesema thamani ya kipande cha bond ni 853 amekosea.. Thamani ya kipande cha bond ni kwenye TSH. 114Bado haijakaa sawa, ina maana gawio itakuwa 0.0087 ya fedha uliyowekeza; mfano ukawekeza milioni 10, utapata gawio la 87,719.
NB: Hakuna taasisi ambayo iko tayari kukufanyia kazi wewe kwa faida
Ndugu zangu mnapata shida nao hao, utakuta mwingine ni mhitimu wa chuo tena shahada za biashara. Haijui UTT wala DSE. Ila Kalyanda anaijua vizuri.Aliyesema thamani ya kipande cha bond ni 853 amekosea.. Thamani ya kipande cha bond ni kwenye TSH. 114
[emoji120][emoji120]Mkuu natania tu this is a right way
Bado haijakaa sawa, ina maana gawio itakuwa 0.0087 ya fedha uliyowekeza; mfano ukawekeza milioni 10, utapata gawio la 87,719.
NB: Hakuna taasisi ambayo iko tayari kukufanyia kazi wewe kwa faida
Wewee jamaa bora kubet tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tlutakufa na Sportpesa nyie pambaneni huko UTT [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Wewee jamaa bora kubet tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
π π π πmil 10 haina kazi uweke UTT upate elfu 88.Milioni 10 gawio ni 88,390/= kwa kila mwezi. Hii ni hela kubwa mno kwa fedha iliyowekwa pending ktk biashara yaani iliyokua haina kazi
Hujafanya kazi yoyote, lakini umeweka hela yako.Shilingi Moja kwa mwezi ni kubwa sana kwasababu hujafanya kazi yotote hapo
Mmmh! Ndo ufurahie kuweka M10 ili upate Elfu 88 kwa mwezi? AhhahahaMilioni 10 gawio ni 88,390/= kwa kila mwezi. Hii ni hela kubwa mno kwa fedha iliyowekwa pending ktk biashara yaani iliyokua haina kazi. Hili gawio kwa cc walala hoi tunalipa bills nyingi sana kwa mwezi[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
yani waafrika alietulogaa alikufaaaMmmh! Ndo ufurahie kuweka M10 ili upate Elfu 88 kwa mwezi? Ahhahaha