The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Wacha zijae serikali inakuja kukopa soon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Actually ,kila mwaka serikali hukopa na kurejesha......na hata Benki za CRDB na NMB hupata faida kubwa kwa kuikopesha serikaliWacha zijae serikali inakuja kukopa soon
NMB,CRDB,STANBIC & NBCNaweza kujisajiri benki yoyote?
Aisee hii gavooActually ,kila mwaka serikali hukopa na kurejesha......na hata Benki za CRDB na NMB hupata faida kubwa kwa kuikopesha serikali
99% ya serikali zote duniani,,,,Lazima zikope ndani ya nchi.....na wakopeshaji wakubwa huwa....Aisee hii gavoo
KaribuMkuu asante kwa elimu hii nzuri!
Nilikuwa na Changamoto ya kufananisha uwekezaji na UPATU!
Nikikumbuka UPATU ilivyoliza watu miaka ile,moyo ulikuwa mzito kufunguka.
Barikiwa!
Yaani hela yenye matumizi baada ya miaka 5😳😳😳
Yaani mnahela halafu HAMNA MPANGO NAZO??!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
12%-8%=4%Mimi naielewa sanaaa na mambo yenyewe nimeyasoma
Ila sasa kumpa mtu mil 100 ili anipe 12% kwa mwaka tena ni NOMINAL INTEREST RATE daaaah AKILI IMEGOMA.
NB:
Kwa hiyo 12% the REAL INTEREST RATE is 8%...!!!!
#YNWA
#YANGA_BINGWA
sijaelewa hapa12%-8%=4%
hii 4% kwa hela unayoiweka akiba for 1 year still ni kubwa...
Ndo kwanza umeanza mwezi huu alafu ghafla umegeula mshauri!Nimeanza mwezi huu nimeweka milioni 30 Cash, matumaini yangu nifunge mwaka na milioni 50. Kuna mfuko wa Liquid naona thamani ya kipande inapanda kila kukicha hivyo ongezeko la fedha pindi thamani inavyopanda naiona vizuri kabisa.
Ushauri kama una fedha ambayo unajua huna mpango nao kwa sasa iweke tu huko utakuja nishukuru baadae..
Hapo 12% ni Riba ya faida....sijaelewa hapa
okHapo 12% ni Riba ya faida....
mfumuko wa bei wa Tanzania ni 4%
Lakini pia mfumuko halisia kwa baadhi ya bidhaa 6% hadi 8%....
Sasa mfumuko wa bei = kiwango cha kushuka kwa thamani ya hela yako...
So....
Ukichukua
Faida-mfumuko wa bei= faida Baki kama ni chanya,au hasara kama ni hasi....
12-8=4
4% Hii ni faida,,,,
Hata kwa uwepo wa mfumuko wa bei,bado unapata faida...