UTT una thamani zaidi ya Trillion 1.5

UTT una thamani zaidi ya Trillion 1.5

Mkuu asante kwa elimu hii nzuri!
Nilikuwa na Changamoto ya kufananisha uwekezaji na UPATU!
Nikikumbuka UPATU ilivyoliza watu miaka ile,moyo ulikuwa mzito kufunguka.
Barikiwa!
 
Mkuu asante kwa elimu hii nzuri!
Nilikuwa na Changamoto ya kufananisha uwekezaji na UPATU!
Nikikumbuka UPATU ilivyoliza watu miaka ile,moyo ulikuwa mzito kufunguka.
Barikiwa!
Karibu
 
Mimi naielewa sanaaa na mambo yenyewe nimeyasoma
Ila sasa kumpa mtu mil 100 ili anipe 12% kwa mwaka tena ni NOMINAL INTEREST RATE daaaah AKILI IMEGOMA.

NB:
Kwa hiyo 12% the REAL INTEREST RATE is 8%...!!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
12%-8%=4%
hii 4% kwa hela unayoiweka akiba for 1 year still ni kubwa...
 
Nimeanza mwezi huu nimeweka milioni 30 Cash, matumaini yangu nifunge mwaka na milioni 50. Kuna mfuko wa Liquid naona thamani ya kipande inapanda kila kukicha hivyo ongezeko la fedha pindi thamani inavyopanda naiona vizuri kabisa.

Ushauri kama una fedha ambayo unajua huna mpango nao kwa sasa iweke tu huko utakuja nishukuru baadae..
Ndo kwanza umeanza mwezi huu alafu ghafla umegeula mshauri!
 
sijaelewa hapa
Hapo 12% ni Riba ya faida....
mfumuko wa bei wa Tanzania ni 4%
Lakini pia mfumuko halisia kwa baadhi ya bidhaa 6% hadi 8%....
Sasa mfumuko wa bei = kiwango cha kushuka kwa thamani ya hela yako...

So....
Ukichukua
Faida-mfumuko wa bei= faida Baki kama ni chanya,au hasara kama ni hasi....
12-8=4
4% Hii ni faida,,,,

Hata kwa uwepo wa mfumuko wa bei,bado unapata faida...
 
Hapo 12% ni Riba ya faida....
mfumuko wa bei wa Tanzania ni 4%
Lakini pia mfumuko halisia kwa baadhi ya bidhaa 6% hadi 8%....
Sasa mfumuko wa bei = kiwango cha kushuka kwa thamani ya hela yako...

So....
Ukichukua
Faida-mfumuko wa bei= faida Baki kama ni chanya,au hasara kama ni hasi....
12-8=4
4% Hii ni faida,,,,

Hata kwa uwepo wa mfumuko wa bei,bado unapata faida...
ok
 
Back
Top Bottom