UTTWakuu, Nina kapesa kangu kama million 6 hivi kamekaa benki muda mrefu naona wanakakatakata tu huko benki, Sasa nataka nikatoe benki walau nikawekeze UTT AMIS au Kwenye hati fungani za serikali. Naombeni ushauri wapi ni Bora kati ya sehemu hizo mbili? kwa maana ya wanaotoa faidi kubwa zaidi ya mwenzie na usalama wa pesa pia.
Achana na hizo ishu utakuja kukuta nakuambiaWakuu, Nina kapesa kangu kama million 6 hivi kamekaa benki muda mrefu naona wanakakatakata tu huko benki, Sasa nataka nikatoe benki walau nikawekeze UTT AMIS au Kwenye hati fungani za serikali. Naombeni ushauri wapi ni Bora kati ya sehemu hizo mbili? kwa maana ya wanaotoa faidi kubwa zaidi ya mwenzie na usalama wa pesa pia.
Toa hiyo Hela weka Tigopesa hawakati Hadi utoe.
Tigo pesa huwezi kuweka zaidi ya 3m, mpaka uende ofsini kwaoToa hiyo Hela weka Tigopesa hawakati Hadi utoe.
Sijawahi kufika ofisi za Tigo na account yangu ya Tigo pesa ishawahi kufika hadi 7m+Tigo pesa huwezi kuweka zaidi ya 3m, mpaka uende ofsini kwao
Unajua nn kuhusu hatifungani ...au unashauli kitu usichokijuaAchana na hizo ishu utakuja kukuta nakuambia
Sasa uko si una peleka TIN no, Business License na NIDa wana Upgrade line yako mpaka tier 3 una kua una weza tunza mpaka 50M (apa nazungumzia Vodacom) hizi taratibu zina fanana mitandao yoteTigo pesa huwezi kuweka zaidi ya 3m, mpaka uende ofsini kwao
Unaweza ukawekeza kwenye hatifungani za serikali Kwenye bond ya miaka ata 5 ..alafu ukaenda kuikopea iyo bond benk ukarudisha pesa yako na baada ya iyo miaka mitano bond yako inarudi ..na pesa yako inarudi kama ulivyo iweka😅 lakin kuwa makini na ufanye utafiti wa kutosha labla ya kufanya maamuziWakuu, Nina kapesa kangu kama million 6 hivi kamekaa benki muda mrefu naona wanakakatakata tu huko benki, Sasa nataka nikatoe benki walau nikawekeze UTT AMIS au Kwenye hati fungani za serikali.
Naombeni ushauri wapi ni Bora kati ya sehemu hizo mbili? kwa maana ya wanaotoa faidi kubwa zaidi ya mwenzie na usalama wa pesa pia.
Weka equity bank wanakata wakati ukitoaTigo pesa huwezi kuweka zaidi ya 3m, mpaka uende ofsini kwao
Ipelekee UTT , kwa siku hutakosa 1400Wakuu, Nina kapesa kangu kama million 6 hivi kamekaa benki muda mrefu naona wanakakatakata tu huko benki, Sasa nataka nikatoe benki walau nikawekeze UTT AMIS au Kwenye hati fungani za serikali.
Naombeni ushauri wapi ni Bora kati ya sehemu hizo mbili? kwa maana ya wanaotoa faidi kubwa zaidi ya mwenzie na usalama wa pesa pia.