UTT vs Hati fungani za serikali, ipi Bora zaidi kuwekeza?

UTT vs Hati fungani za serikali, ipi Bora zaidi kuwekeza?

Mkuu,,,
UTT haihusiki na hati fungani...
.Hati fungani ni either Benki kuu au Makampuni makubwa yanahitaji mkopo (NMB na CRDB walikuwa na corporate bond mwaka huu)

UTT ni mutual fund...
Inahusika boss...ndani ya utt amis .kunauwekezaji wa sehemu tofauti tofauti ikiwepo DSE na BOT(hatifungani za serikali)
 
Inahusika boss...ndani ya utt amis .kunauwekezaji wa sehemu tofauti tofauti ikiwepo DSE na BOT(hatifungani za serikali)
Wewe unawekeza UTT,,,ila wao ndiyo wanaenda wekeza pesa kwenye Stocks,Mercantile,Fixed deposits ,corporate na government bonds...

UTT ni mutual funds...elewa maana ya mutual...na ni kwa raia wa Tanzania.

Hatifungani unaweza kuwekeza directly kwenye mnada wa BOT au second hand kupitia brokers.
 
Ni kweli UTT ni mutual fund ila wana mfuko wa Hatifungani (Bond Fund). Wawekezaji wanaowekeza hela kwenye mfuko huu, hela zao zinaenda kuwekezwa kwenye hizo bond ulizoziorodhesha.

Swali la kujiuliza: Ni kwa nini uende kuwekeza UTT wakati wewe mwenyewe unaweza kwenda kununua hizo bond moja kwa moja bila kupitia UTT?.

Asante.
Siyo hati fungani ya benki kuu,,,
Benki kuu hati fungani inaanzia 1,000,000 tsh...
And
Hati fungani huwa inacheza kwenye faida ya 7% mpaka 11%,,,
Government Bond wakitoa zaidi ya 10%,,,achana nayo, ni ishara serikali haina uwezo wa kulipa
 
Siyo hati fungani ya benki kuu,,,
Benki kuu hati fungani inaanzia 1,000,000 tsh...
And
Hati fungani huwa inacheza kwenye faida ya 3% mpaka 7%,,,
Government Bond wakitoa zaidi ya 10%,,,achana nayo, ni ishara serikali haina uwezo wa kulipa

Mkuu, mnada wa mwaka huu wa Treasury bond za muda wa miaka 20 za BOT zimetangazwa kwa riba ya 15.49%. Sasa unavyosema "Government Bond wakitoa zaidi ya 10% achana nayo, ni ishara serikali haina uwezo wa kulipa" nashindwa kukuelewa. Toka miaka ya nyuma hizi Treasury bond huwa zinachezea 16% ila saivi ndio kama riba yake imepungua.

Inawezekana hati fungani za Benki kuu zinaanzia Tshs 1M, ila ukiwa na hela ndogo chini ya Tshs 1M, bado unaweza kuzinunua kupitia UTT. Wao wanakusanya hela za pamoja then wanaenda kununua hati fungani BOT. Mfuko wa UTT ambao lengo lake ni kununua hatifungani unaitwa BOND FUND. Sasa unasemaje UTT hawahusiki na hati fungani na huku wanawekeza huko?.

Uko sahihi kusema UTT ni mutual fund (mfuko wa pamoja), ila swali ni wanawekeza wapi? (Mpaka sasa kuna mifuko 6 na kila mfuko una sehemu yake ambayo fedha zilizokusanywa pamoja zinaenda kuwekezwa)

N.B
MFUKO WA HATI FUNGANI WA UTT, 90% YA HELA ZINAZOKUSANYWA LENGO NI KUWEKEZWA KWENYE HATI FUNGANI (Bank, BOT, Mashirika n,k)
Screenshot_20240618-022951_Chrome.jpg
 
Mkuu, mnada wa mwaka huu wa Treasury bond za muda wa miaka 20 za BOT zimetangazwa kwa riba ya 15.49%. Sasa unavyosema "Government Bond wakitoa zaidi ya 10% achana nayo, ni ishara serikali haina uwezo wa kulipa" nashindwa kukuelewa. Toka miaka ya nyuma hizi Treasury bond huwa zinachezea 16% ila saivi ndio kama riba yake imepungua.

Inawezekana hati fungani za Benki kuu zinaanzia Tshs 1M, ila ukiwa na hela ndogo chini ya Tshs 1M, bado unaweza kuzinunua kupitia UTT. Wao wanakusanya hela za pamoja then wanaenda kununua hati fungani BOT. Mfuko wa UTT ambao lengo lake ni kununua hatifungani unaitwa BOND FUND. Sasa unasemaje UTT hawahusiki na hati fungani na huku wanawekeza huko?.

Uko sahihi kusema UTT ni mutual fund (mfuko wa pamoja), ila swali ni wanawekeza wapi? (Mpaka sasa kuna mifuko 6 na kila mfuko una sehemu yake ambayo fedha zilizokusanywa pamoja zinaenda kuwekezwa)

N.B
MFUKO WA HATI FUNGANI WA UTT, 90% YA HELA ZINAZOKUSANYWA LENGO NI KUWEKEZWA KWENYE HATI FUNGANI (Bank, BOT, Mashirika n,k)
View attachment 3019699
Tatizo miaka 20 nimingi
 
Back
Top Bottom