Utuaji ndege wasimamisha mechi ya Azam na Dodoma jiji

Utuaji ndege wasimamisha mechi ya Azam na Dodoma jiji

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wakati mechi ya Azam na Dodoma jiji inaendelea hapa uwanja wa Jamhuri Dodoma. Linatokea tangazo la waendesha uwanja kuwa taa zote za uwanjani zitazimwa Ili ndege itue kwenye uwanja ulio karibu na uwanja huo Wa mpira.

Hii imekaaje kisheria?
 
Wakati wa ndege kutua usiku rubani huongozwa na taa zinazomwonyesha mwanzo na mwisho wa uwanja ikiwa ni pamoja na pembeni runway ilipoishia. Ni tofauti na mchama ambapo huongozwa na ile mistari myeupe iliyochorwa kwenye njia ya ndege kutua.

Sasa turudi kwanini taa za uwanja wa mpira kuzimwa.

Taa zinazimwa kwa vile zinaweza kumchanga dereva wa ndege (rubani) asijue upi ni uwanja halisi wa ndege na anaanzia wapi kushuka. Ukiangalia Uwanja wa ndege na Uwanja wa mpira vipo karibu vikitenganishwa na round about tu. Hivyo inahatarisha usalama wa ndege kutua usiku wakati taa za uwanja wa mpira zikiwaka.

Uwanja wa ndege Mwanza upande mmoja unaishia ziwani kama ilivyo kwa uwanja wa Bukoba na Entebbe Uganda. Kuna wavuvi wa dagaa walipanga karabai zao ziwani zikampoteza maboya rubani na kutua ziwani akidhani ni taa za kuongoza ndege. Bahati pia ilikuwa ni ndege ya mizigo.

Sasa kwa usalama pia wa wachezaji wa mpira na mashabiki wao hapo Dodoma, ilikuwa muhimu kuzima taa maana ingesababisha rubani atue Jamhuri Stadium na kuleta maafa.

Ni hivyo tu.
Wakati mechi ya Azam na Dodoma jiji inaendelea hapa uwanja wa Jamhuri Dodoma. Linatokea tangazo la waendesha uwanja kuwa taa zote za uwanjani zitazimwa Ili ndege itue kwenye uwanja ulio karibu na uwanja huo Wa mpira.

Hii imekaaje kisheria?
 
Wakati wa ndege kutua usiku rubani huongozwa na taa zinazomwonyesha mwanzo na mwisho wa uwanja ikiwa ni pamoja na pembeni runway ilipoishia. Ni tofauti na mchama ambapo huongozwa na ile mistari myeupe iliyochorwa kwenye njia ya ndege kutua.

Sasa turudi kwanini taa za uwanja wa mpira kuzimwa.

Taa zinazimwa kwa vile zinaweza kumchanga dereva wa ndege (rubani) asijue upi ni uwanja halisi wa ndege na anaanzia wapi kushuka. Ukiangalia Uwanja wa ndege na Uwanja wa mpira vipo karibu vikitenganishwa na round about tu. Hivyo inahatarisha usalama wa ndege kutua usiku wakati taa za uwanja wa mpira zikiwaka.

Uwanja wa ndege Mwanza upande mmoja unaishia ziwani kama ilivyo kwa uwanja wa Bukoba na Entebbe Uganda. Kuna wavuvi wa dagaa walipanga karabai zao ziwani zikampoteza maboya rubani na kutua ziwani akidhani ni taa za kuongoza ndege. Bahati pia ilikuwa ni ndege ya mizigo.

Sasa kwa usalama pia wa wachezaji wa mpira na mashabiki wao hapo Dodoma, ilikuwa muhimu kuzima taa maana ingesababisha rubani atue Jamhuri Stadium na kuleta maafa.

Ni hivyo tu.
Nikuulize kidogo?
 
Back
Top Bottom