Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
🤣🤣🤣Ni sahihi kabisa. Kama hujawahi kurusha ndege huwezi kuelewa. Kuna siku rubani mwenzangu nusu atue kwa Mwamposa ila tukastuka mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Ni sahihi kabisa. Kama hujawahi kurusha ndege huwezi kuelewa. Kuna siku rubani mwenzangu nusu atue kwa Mwamposa ila tukastuka mapema.
Maelezo mazuri kama ni hivyo walikuawa sahihi maana viwanja vipo karibu sana.Wakati wa ndege kutua usiku rubani huongozwa na taa zinazomwonyesha mwanzo na mwisho wa uwanja ikiwa ni pamoja na pembeni runway ilipoishia. Ni tofauti na mchama ambapo huongozwa na ile mistari myeupe iliyochorwa kwenye njia ya ndege kutua.
Sasa turudi kwanini taa za uwanja wa mpira kuzimwa.
Taa zinazimwa kwa vile zinaweza kumchanga dereva wa ndege (rubani) asijue upi ni uwanja halisi wa ndege na anaanzia wapi kushuka. Ukiangalia Uwanja wa ndege na Uwanja wa mpira vipo karibu vikitenganishwa na round about tu. Hivyo inahatarisha usalama wa ndege kutua usiku wakati taa za uwanja wa mpira zikiwaka.
Uwanja wa ndege Mwanza upande mmoja unaishia ziwani kama ilivyo kwa uwanja wa Bukoba na Entebbe Uganda. Kuna wavuvi wa dagaa walipanga karabai zao ziwani zikampoteza maboya rubani na kutua ziwani akidhani ni taa za kuongoza ndege. Bahati pia ilikuwa ni ndege ya mizigo.
Sasa kwa usalama pia wa wachezaji wa mpira na mashabiki wao hapo Dodoma, ilikuwa muhimu kuzima taa maana ingesababisha rubani atue Jamhuri Stadium na kuleta maafa.
Ni hivyo tu.
Ndege hua inapita juu,Sasa ni wakati wa huu uwanja wa ndege kuhama hapa mjini kati jamani..kuna siku ndege imenipita kichwani shwaaaa....
Tanzania ni channel ya futuhiWakati mechi ya Azam na Dodoma jiji inaendelea hapa uwanja wa Jamhuri Dodoma. Linatokea tangazo la waendesha uwanja kuwa taa zote za uwanjani zitazimwa Ili ndege itue kwenye uwanja ulio karibu na uwanja huo Wa mpira.
Hii imekaaje kisheria?
Teknolojia iliyopo leo bado rubani atachanganywa na taa? GPS na ILS hazitamuonyesha path sahihi ya airport?Wakati wa ndege kutua usiku rubani huongozwa na taa zinazomwonyesha mwanzo na mwisho wa uwanja ikiwa ni pamoja na pembeni runway ilipoishia. Ni tofauti na mchama ambapo huongozwa na ile mistari myeupe iliyochorwa kwenye njia ya ndege kutua.
Sasa turudi kwanini taa za uwanja wa mpira kuzimwa.
Taa zinazimwa kwa vile zinaweza kumchanga dereva wa ndege (rubani) asijue upi ni uwanja halisi wa ndege na anaanzia wapi kushuka. Ukiangalia Uwanja wa ndege na Uwanja wa mpira vipo karibu vikitenganishwa na round about tu. Hivyo inahatarisha usalama wa ndege kutua usiku wakati taa za uwanja wa mpira zikiwaka.
Uwanja wa ndege Mwanza upande mmoja unaishia ziwani kama ilivyo kwa uwanja wa Bukoba na Entebbe Uganda. Kuna wavuvi wa dagaa walipanga karabai zao ziwani zikampoteza maboya rubani na kutua ziwani akidhani ni taa za kuongoza ndege. Bahati pia ilikuwa ni ndege ya mizigo.
Sasa kwa usalama pia wa wachezaji wa mpira na mashabiki wao hapo Dodoma, ilikuwa muhimu kuzima taa maana ingesababisha rubani atue Jamhuri Stadium na kuleta maafa.
Ni hivyo tu.
Rubani alikua amelewaTeknolojia iliyopo leo bado rubani atachanganywa na taa? GPS na ILS hazitamuonyesha path sahihi ya airport?
Taa za runway si zina utaratibu na rangi maalum na kuna zile PAPI pembeni? Unaweza kuzichanganya na taa za uwanja wa mpira ambao ni 100m na wakati runway zinaenda mpaka 3km
Hata chef asili hakuna?
Wabongo wakifika sehemu la kwanza ni kula dah imagine unatoka dar to dom unanza na kwenda kulaWaki⁰⁹⁹099⁹shukaNdo tumeshuka apa kwenye iyo ndenge tunaingia zetu chinangali Park kupata chochote kitu
Sasa si mara moja moja uwe unatembea ili uangalie ule uwanja mkubwa wa ndege wa Msalato umefikia hatua gani!!Sasa ni wakati wa huu uwanja wa ndege kuhama hapa mjini kati jamani..kuna siku ndege imenipitia kichwani shwaaaa....
Na hii sio mara ya kwanza kutokea haya. Hata mechi iliyopita aliyocheza Dodoma home ilikua hivi hivi pia.Wakati wa ndege kutua usiku rubani huongozwa na taa zinazomwonyesha mwanzo na mwisho wa uwanja ikiwa ni pamoja na pembeni runway ilipoishia. Ni tofauti na mchama ambapo huongozwa na ile mistari myeupe iliyochorwa kwenye njia ya ndege kutua.
Sasa turudi kwanini taa za uwanja wa mpira kuzimwa.
Taa zinazimwa kwa vile zinaweza kumchanga dereva wa ndege (rubani) asijue upi ni uwanja halisi wa ndege na anaanzia wapi kushuka. Ukiangalia Uwanja wa ndege na Uwanja wa mpira vipo karibu vikitenganishwa na round about tu. Hivyo inahatarisha usalama wa ndege kutua usiku wakati taa za uwanja wa mpira zikiwaka.
Uwanja wa ndege Mwanza upande mmoja unaishia ziwani kama ilivyo kwa uwanja wa Bukoba na Entebbe Uganda. Kuna wavuvi wa dagaa walipanga karabai zao ziwani zikampoteza maboya rubani na kutua ziwani akidhani ni taa za kuongoza ndege. Bahati pia ilikuwa ni ndege ya mizigo.
Sasa kwa usalama pia wa wachezaji wa mpira na mashabiki wao hapo Dodoma, ilikuwa muhimu kuzima taa maana ingesababisha rubani atue Jamhuri Stadium na kuleta maafa.
Ni hivyo tu.
Ingekugusa ungeingia kwenye historia ya mtu wa kwanza kugongwa na ndege ikiwa angani😂😂Sasa ni wakati wa huu uwanja wa ndege kuhama hapa mjini kati jamani..kuna siku ndege imenipitia kichwani shwaaaa....
Nadhani ule unaojengwa kule msalato ndiyo suluhusho!Ndugu zanguni muamishe kimojawapo hapo, isije siku ikatua uwanjani kwenye vichwa vya watu itakuwa ni kesi nyingine
uwanja unajengwa msalato almost unefikia 60%Sasa ni wakati wa huu uwanja wa ndege kuhama hapa mjini kati jamani..kuna siku ndege imenipitia kichwani shwaaaa....
Kumbe na wewe upo Dom TownSasa ni wakati wa huu uwanja wa ndege kuhama hapa mjini kati jamani..kuna siku ndege imenipitia kichwani shwaaaa....
🤣🤣😂Teknolojia iliyopo leo bado rubani atachanganywa na taa? GPS na ILS hazitamuonyesha path sahihi ya airport?
Taa za runway si zina utaratibu na rangi maalum na kuna zile PAPI pembeni? Unaweza kuzichanganya na taa za uwanja wa mpira ambao ni 100m na wakati runway zinaenda mpaka 3km