Utulivu wangu umeniponza kwa huyu mwanamke ni bora ningekuwa tu kicheche

sa utulivu wako umekuponza kivipi, kapime nae umuhudumie anachotaka
 
Dah hatar mtoto mkaliii anakutaka naamekwambia mkapime!!! Kuwa serious mfate hiyo cku mkapime uone kama atakubali, naamini watu wanatumia kauli yakusema mkapime kwakujua kuwa hamtoenda kupima nakauli yake hiyo itakufanya umuamini kwakuwaza kichwan kwako kuwa angekuwa nangwengwe asingekwambia mkapime
 
Hilo ndo jukumu letu wanaume,kuhakiksha mtoto wa kke wanapata haki yao,sasa wew n mwanaume gani,aisee mi nkipendwaga na mdada huwa sjui kukataa hata akiwa mbaya,hawa watu huwa nawahurumia sana katika suala hili la mapenz
 
Hii methali hebu nifafanulie mi nilishindwaga kilichomkuta kibeku na ungo kitamkuta
 
Achana nae huyo, atafute mtu ambaye hajaoa akazini nae
Tena akukome
 
Kaza uzi mkuu, si kila mwanamke anayekutongoza lazima" ukamchape nao" hembu mringie kama na wao wanavyoturingiaga na yeye aone vile ambavyo huwa tunasikia.
 
Anatumia kauli kama hiyo ili kumlainisha tu...
 
teh teh teh hii kali!!!
 
Ama kweli nimeamini penye miti hakuna wajenzi na Mwenye bahati habahatishi
 
dah huyo dada hatre, ukimuonjesha tu akanogewa! huduma atakuwa anaifuata nyumbani kwako!

So mi naanza kuandaa maoni ya mrejesho, maana najua muda sio mrefu utaomba ushauri ndoa iko matatani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…