Utulivu wangu umeniponza kwa huyu mwanamke ni bora ningekuwa tu kicheche

Utulivu wangu umeniponza kwa huyu mwanamke ni bora ningekuwa tu kicheche

Nilikaribia kutoa ushauri wa nini kifanyike lakini kabla ya kufanya hivyo nikaamua niangalie nani ni muanzisha huu uzi. Mkuu wewe na threads zako hmmmm!
 
Mkimbie huyo kabisa..utaharibu familia yako..
Kama hujajaribu ni bora usijaribu..
 
Kama mwanaume kweli na uko kwenye ndoa, ukileta issue ya namna hii hapa.Nina mashaka na namna unavyo shughulikia mambo yako mbalimbali ya familia.Kwamba sio mwanaume, bado hujakomaa, na tegemezi wa fikra.

Mimi ningemsaidia huyo dada kuondoa upweke wake, ndio ni kosa lakin sio la kwanza wala la mwisho.Kuna makosa mengi zaidi ya hilo. Pia wanawake ni wengi zaidi dunian kuliko sisi wanaume, mahitaji yao mengine hayanunuliwi kwa pesa ni suala la utu. Niambie ofisi zenu ziko wapi nijitolee msaada!
 
Acha ufala. Huoni raha mwanamke kukutongoza? Ila usikubali kwenda kwake, Hapo nyumba za kulala wageni zinakuhuhusu.
 
Watu wengine kama sisi tunazitafuta hizi bahati halafu ww unaletewa mpaka mlangoni pako na unazingua.Duh! Mkuu hii kama sio aibu ni nn sasa?
 
Nimeona nije kuwaomba ushauri hapa maana wakati flani unaona ni bora upate mawazo mtambuka toka kwa wadau wengine. Na hii inatokana na kuwa watu wana fikra mchanyato na ni wazi kuwa kweli ya leo siyo kweli ya jana.

Huyu dada tunafanya naye kazi ofisini ana muda flan tu, tumezoeana kiasi si sana na yeye pia hajazoeana na watu wengi ila toka siku ya kwanza alionesha kuwa interested na mimi nami kwenye maongezi yangu mara nyingi humwelezea kuhusu mke angu na watoto wetu kadhaa.

Mara nyingine akipiga simu nawapa watoto wamsalimie kama aunt ya, sasa issue yenyewe imeanza Ijumaa iliyopita alinitumia msg kuwa anaomba weekend iliyopita nikashinde naye kwake. Nikamwambia nlikuwa busy kidogo nisingeweza na kiukweli nlikuwa na safari nyingine alilalamika sana kuwa sina muda wa kuwaembelea marafiki hasa kama yeye ambaye ni mpweke na anapenda sana tunapoongea na kubadilishana mawazo.

Jana sasa ndo kamaliza kabisa katuma hii msg whatsapp " mambo! Mwenzio nina ***** na wewe sana. Toka siku ile nimekuona nlijikuta nakupenda na nakuwazia sana. tafadhari wala nisikuchoshe na maneno mengi sana. Naomba Jumamosi au jumapili tukapime halafu tukitoka huko twende nyumbani kwangu ukani***** sana. Please i beg you. Please usinikatalie maana utanisababishia hata niachae kazi maana sitaweza kuwa naendelea kukuona huku nateseka"

Niliisoma hiyo SMS halafu nikanyamaza nikidhani pengine amekosea baada ya masaa kama manne hivi akanipigia simu kuniuliza nimepata SMS yake? nikamuuliza ipi hapo akakata simu akanitumia tena ile SMS na baada ya dk kama 2 akapiga kuiuliza kama nimepata.nikamwambia ndiyo akasema basi anaomba niifanyie kazi.

Najiuliza mara mia mia, nimsaidiaje huyu dada? Kiukweli ni mzuri sana na mtaratibu alipofika ofisini kuna watu walijaribu baadaye wakashindwa wakamwacha. Mimi ndo sikuwahi kabisa kumwambia habari hizo. Kumbe ndo nilikosea yeye akanipenda kwa sababu nilionekana ni mwanaume mtulivu utulivu wangu umeniponza.

Nimeona nije kuwaomba ushauri hapa maana wakati flani unaona ni bora upate mawazo mtambuka toka kwa wadau wengine. Na hii inatokana na kuwa watu wana fikra mchanyato na ni wazi kuwa kweli ya leo siyo kweli ya jana.

Huyu dada tunafanya naye kazi ofisini ana muda flan tu, tumezoeana kiasi si sana na yeye pia hajazoeana na watu wengi ila toka siku ya kwanza alionesha kuwa interested na mimi nami kwenye maongezi yangu mara nyingi humwelezea kuhusu mke angu na watoto wetu kadhaa.

Mara nyingine akipiga simu nawapa watoto wamsalimie kama aunt ya, sasa issue yenyewe imeanza Ijumaa iliyopita alinitumia msg kuwa anaomba weekend iliyopita nikashinde naye kwake. Nikamwambia nlikuwa busy kidogo nisingeweza na kiukweli nlikuwa na safari nyingine alilalamika sana kuwa sina muda wa kuwaembelea marafiki hasa kama yeye ambaye ni mpweke na anapenda sana tunapoongea na kubadilishana mawazo.

Jana sasa ndo kamaliza kabisa katuma hii msg whatsapp " mambo! Mwenzio nina ***** na wewe sana. Toka siku ile nimekuona nlijikuta nakupenda na nakuwazia sana. tafadhari wala nisikuchoshe na maneno mengi sana. Naomba Jumamosi au jumapili tukapime halafu tukitoka huko twende nyumbani kwangu ukani***** sana. Please i beg you. Please usinikatalie maana utanisababishia hata niachae kazi maana sitaweza kuwa naendelea kukuona huku nateseka"

Niliisoma hiyo SMS halafu nikanyamaza nikidhani pengine amekosea baada ya masaa kama manne hivi akanipigia simu kuniuliza nimepata SMS yake? nikamuuliza ipi hapo akakata simu akanitumia tena ile SMS na baada ya dk kama 2 akapiga kuiuliza kama nimepata.nikamwambia ndiyo akasema basi anaomba niifanyie kazi.

Najiuliza mara mia mia, nimsaidiaje huyu dada? Kiukweli ni mzuri sana na mtaratibu alipofika ofisini kuna watu walijaribu baadaye wakashindwa wakamwacha. Mimi ndo sikuwahi kabisa kumwambia habari hizo. Kumbe ndo nilikosea yeye akanipenda kwa sababu nilionekana ni mwanaume mtulivu utulivu wangu umeniponza.
Ni rhisi tu,mapenzi ni mchezo fulani mtamu sana,yeye alivyowatolea nje wote waliomtongoza wanafeel anavyofeel yeye sasa,mweleze ajifunze kwao.Pia kwa tahadhari tu uko mbioni kuhariibu ndoa yako.Anataka ukashinde naye kwake uache mkeo na watoto siyo?Anakutumia msg za hivyo ukiwa nyumbani na mkeo ati?Ukimkula tu tegemea vitimbi kama msg hizo kutumiwa usiku na kupigiwa usiku ukiwa na mkeo,kifupi tu ataanzisha revolution movement.
 
Nimeona nije kuwaomba ushauri hapa maana wakati flani unaona ni bora upate mawazo mtambuka toka kwa wadau wengine. Na hii inatokana na kuwa watu wana fikra mchanyato na ni wazi kuwa kweli ya leo siyo kweli ya jana.

Huyu dada tunafanya naye kazi ofisini ana muda flan tu, tumezoeana kiasi si sana na yeye pia hajazoeana na watu wengi ila toka siku ya kwanza alionesha kuwa interested na mimi nami kwenye maongezi yangu mara nyingi humwelezea kuhusu mke angu na watoto wetu kadhaa.

Mara nyingine akipiga simu nawapa watoto wamsalimie kama aunt ya, sasa issue yenyewe imeanza Ijumaa iliyopita alinitumia msg kuwa anaomba weekend iliyopita nikashinde naye kwake. Nikamwambia nlikuwa busy kidogo nisingeweza na kiukweli nlikuwa na safari nyingine alilalamika sana kuwa sina muda wa kuwaembelea marafiki hasa kama yeye ambaye ni mpweke na anapenda sana tunapoongea na kubadilishana mawazo.

Jana sasa ndo kamaliza kabisa katuma hii msg whatsapp " mambo! Mwenzio nina ***** na wewe sana. Toka siku ile nimekuona nlijikuta nakupenda na nakuwazia sana. tafadhari wala nisikuchoshe na maneno mengi sana. Naomba Jumamosi au jumapili tukapime halafu tukitoka huko twende nyumbani kwangu ukani***** sana. Please i beg you. Please usinikatalie maana utanisababishia hata niachae kazi maana sitaweza kuwa naendelea kukuona huku nateseka"

Niliisoma hiyo SMS halafu nikanyamaza nikidhani pengine amekosea baada ya masaa kama manne hivi akanipigia simu kuniuliza nimepata SMS yake? nikamuuliza ipi hapo akakata simu akanitumia tena ile SMS na baada ya dk kama 2 akapiga kuiuliza kama nimepata.nikamwambia ndiyo akasema basi anaomba niifanyie kazi.

Najiuliza mara mia mia, nimsaidiaje huyu dada? Kiukweli ni mzuri sana na mtaratibu alipofika ofisini kuna watu walijaribu baadaye wakashindwa wakamwacha. Mimi ndo sikuwahi kabisa kumwambia habari hizo. Kumbe ndo nilikosea yeye akanipenda kwa sababu nilionekana ni mwanaume mtulivu utulivu wangu umeniponza.
Duuuh kuna watu wanaletewa mpunye ya promotion halafu wanakodoa macho kma prof lipumba.huyo inatakiwa umpe mechi za mkopo tu mpka akili imkae sawa
 
Nimeona nije kuwaomba ushauri hapa maana wakati flani unaona ni bora upate mawazo mtambuka toka kwa wadau wengine. Na hii inatokana na kuwa watu wana fikra mchanyato na ni wazi kuwa kweli ya leo siyo kweli ya jana.

Huyu dada tunafanya naye kazi ofisini ana muda flan tu, tumezoeana kiasi si sana na yeye pia hajazoeana na watu wengi ila toka siku ya kwanza alionesha kuwa interested na mimi nami kwenye maongezi yangu mara nyingi humwelezea kuhusu mke angu na watoto wetu kadhaa.

Mara nyingine akipiga simu nawapa watoto wamsalimie kama aunt ya, sasa issue yenyewe imeanza Ijumaa iliyopita alinitumia msg kuwa anaomba weekend iliyopita nikashinde naye kwake. Nikamwambia nlikuwa busy kidogo nisingeweza na kiukweli nlikuwa na safari nyingine alilalamika sana kuwa sina muda wa kuwaembelea marafiki hasa kama yeye ambaye ni mpweke na anapenda sana tunapoongea na kubadilishana mawazo.

Jana sasa ndo kamaliza kabisa katuma hii msg whatsapp " mambo! Mwenzio nina ***** na wewe sana. Toka siku ile nimekuona nlijikuta nakupenda na nakuwazia sana. tafadhari wala nisikuchoshe na maneno mengi sana. Naomba Jumamosi au jumapili tukapime halafu tukitoka huko twende nyumbani kwangu ukani***** sana. Please i beg you. Please usinikatalie maana utanisababishia hata niachae kazi maana sitaweza kuwa naendelea kukuona huku nateseka"

Niliisoma hiyo SMS halafu nikanyamaza nikidhani pengine amekosea baada ya masaa kama manne hivi akanipigia simu kuniuliza nimepata SMS yake? nikamuuliza ipi hapo akakata simu akanitumia tena ile SMS na baada ya dk kama 2 akapiga kuiuliza kama nimepata.nikamwambia ndiyo akasema basi anaomba niifanyie kazi.

Najiuliza mara mia mia, nimsaidiaje huyu dada? Kiukweli ni mzuri sana na mtaratibu alipofika ofisini kuna watu walijaribu baadaye wakashindwa wakamwacha. Mimi ndo sikuwahi kabisa kumwambia habari hizo. Kumbe ndo nilikosea yeye akanipenda kwa sababu nilionekana ni mwanaume mtulivu utulivu wangu umeniponza.
mle tiGo wewe, wacha ushamba.
 
Yani km unajipenda...unapenda familia yako ,unaheshimu ndoa yako..na unampenda mkeo na unapenda amani..usithubutu...
Ukienda huko usije ukarudi hapa unaomba ushauri ooh ana mimba yangu sijui nifanyeje...oh mchepuko unanivunjua . ndoa yangu..
Kwanza huyo dada hana adabu..anaanzaje kukutumia sms km hizo tena mume wa mtu..[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
Hizo guts za kumtumia sms mwanaume km hizo kazitoa wapi km sio kahaba hilo keshawatumia wanaume zaidi yako...
Nakuonea huruma cz once ukimpa chance atakukomesha huyo....
Chukua huu ushauri, utakusaidia, huyo ni malaya.
 
Back
Top Bottom