Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Yes, kamtaji kako juu kiasi kwa sasanice idea mamy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, kamtaji kako juu kiasi kwa sasanice idea mamy
Yes, kamtaji kako juu kiasi kwa sasa
Ha haaa nakuaminia jembe, nakuja whatsappHapana nakukatalia...ukisrma mtaji upo chini kwa sasa had mwaka 2020 utasema hvyohvyo...anza na ulichonacho meeya mu dear...!nahis una kauoga au kauzito..ukiwa tayari sema twende machinjion tuingie front
Ha haaa nakuaminia jembe, nakuja whatsapp
Nipe madini bas na wewe. Sijajua cha kufanya mpk sasa ujue. Napoteza muda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]i wish ukae week 1 na mm utashangaa[emoji23][emoji23][emoji23]pale nimekuwa icon fulan ya wanawake[emoji28][emoji28]..kazi kazi..hta 80 unaweza anza tena unapeleka kule kwa sisy..udhunguni..njoo mwaya
Nipe madini bas na wewe. Sijajua cha kufanya mpk sasa ujue. Napoteza muda
mkuu mzani mdogo wanaotimia wauza utumbo wanaotembeza dar mi sh ngapi inapatikana maduka gani hapa darHasa kwa vijana wanaokaa DSM ambapo biashara ya nyama(bucha) haifungamani na utumbo.
Kwa wale wenye mitaji midogo pungufu ya laki 6 ningeomba kidogo wajaribu kufanya uchunguzi wa biashara ya utumbo.
Ukiwa na shillingi laki 6, nenda katengeneze kabati lakio laki 2, Muzani laki moja na nusu, eneo lakuuzia elfu 10 kwa mwezi, nenda kanunue utumbo. Bei ya utumbo kwa kg 1 wanauza elfu moja miatano machinjioni, wewe ukishauchukua uza elfu tatu kwa kg 1 ingawa sehemu zingine wanauza elfu 4 kwa kg 1, mwanzoni patakuwa na changamoto lakini wakishazoea utapiga pesa kiasi.
Ukiuza kwa siku kg 20 utakuwa na faida ya elfu 30 au elfu 25 kwahiyo hapo utakuwa umejiongezea kipato kwa kiasi Fulani.Kuhusu pakuuweka ukibaki ongea na mwenye bucha atakuhifadhia kama ukibaki.
Mimi binafsi nilimpa kazi hii kijana na kwa wiki ananipa elfu 50 ,kwa mwezi laki 2.Hiki kibiashara kufikia sasa kinanilipia kodi ya chumba,umeme,maji kwa mwezi halafu mie nahangaika na mambo mengine.
Leo nimefungua banda la 2 la utumbo nimemuweka pia kijana mwingine, nimeona changamoto nindogo sana kulingana na biashara nyingine ndogondogo zakuwapa vijana wasimamie.
Changamoto hapa nikuamka mapema saa kumi na kuufata machinjioni, ingawa ukimpa kijana ataufata yeye mwenyewe.
Pia ukiweza uza na supu ya utumbo(hii mada ya siku nyingine).
Asenteni.
Mkuu baadhi ya maeneo mengne wanauza utumbo pamoja na nyama pamojaTatizo watu hawajui kuwa nyama inapaswa iuzwe kivyake na utumbo kivyake. Unataka kusema mikoani watu hawanywi supu au kila mmoja ana uwezo wa kununua nyama. Mbezi beach hakuna anayeuza utumbo wakati watu tunautafuta kila asubuhi wapi.
Pale Ushirombo mara nyingi tukipita asubuhi kuna kibanda cha supu ya utumbo wa mbuzi na chapati. Ukifika saa nne tayari imeisha. Nadhani hata ya ng'ombe ipo ila mimi huwa napenda utumbo wa mbuzi.
Hata vijijini siku hizi vijana jioni wanapenda supu wakati wa kukata maji yao hivyo tuchangamkie hii kitu.
Big up mleta mada.
Ndo maana nililalamika. Mikoani ukienda bucha unalazimishwa kuwekewa utumbo wakati unasafiri masaa 6 kwenye basi. By the time unafika nyumba yote inanuka.Mkuu baadhi ya maeneo mengne wanauza utumbo pamoja na nyama pamoja
Uko sahihi kabisa. Tatizo vijana kuchagua kazi.Hasa kwa vijana wanaokaa DSM ambapo biashara ya nyama(bucha) haifungamani na utumbo.
Kwa wale wenye mitaji midogo pungufu ya laki 6 ningeomba kidogo wajaribu kufanya uchunguzi wa biashara ya utumbo.
Ukiwa na shillingi laki 6, nenda katengeneze kabati lakio laki 2, Muzani laki moja na nusu, eneo lakuuzia elfu 10 kwa mwezi, nenda kanunue utumbo. Bei ya utumbo kwa kg 1 wanauza elfu moja miatano machinjioni, wewe ukishauchukua uza elfu tatu kwa kg 1 ingawa sehemu zingine wanauza elfu 4 kwa kg 1, mwanzoni patakuwa na changamoto lakini wakishazoea utapiga pesa kiasi.
Ukiuza kwa siku kg 20 utakuwa na faida ya elfu 30 au elfu 25 kwahiyo hapo utakuwa umejiongezea kipato kwa kiasi Fulani.Kuhusu pakuuweka ukibaki ongea na mwenye bucha atakuhifadhia kama ukibaki.
Mimi binafsi nilimpa kazi hii kijana na kwa wiki ananipa elfu 50 ,kwa mwezi laki 2.Hiki kibiashara kufikia sasa kinanilipia kodi ya chumba,umeme,maji kwa mwezi halafu mie nahangaika na mambo mengine.
Leo nimefungua banda la 2 la utumbo nimemuweka pia kijana mwingine, nimeona changamoto nindogo sana kulingana na biashara nyingine ndogondogo zakuwapa vijana wasimamie.
Changamoto hapa nikuamka mapema saa kumi na kuufata machinjioni, ingawa ukimpa kijana ataufata yeye mwenyewe.
Pia ukiweza uza na supu ya utumbo(hii mada ya siku nyingine).
Asenteni.
safi sana mkuu, hii ni fursa iliyojificha
simlipi ye ndio ananilipa,nimpe hesabu kwa siku nahitaji aniletee elfu 7/8.Mkuu kijana unamlipa sh ngapi? Na malipo ni kwa siku, wiki au kwa mwezi.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi natumia muzani wakawaida, nilinunua Kaliakoo laki moja na 40 elfu.mkuu mzani mdogo wanaotimia wauza utumbo wanaotembeza dar mi sh ngapi inapatikana maduka gani hapa dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio bucha mkuu, ninje ya bucha.