elitee
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 327
- 344
Ha ha napapenda Sana pale utumbo wanaivisha vizuuriTatizo watu hawajui kuwa nyama inapaswa iuzwe kivyake na utumbo kivyake. Unataka kusema mikoani watu hawanywi supu au kila mmoja ana uwezo wa kununua nyama. Mbezi beach hakuna anayeuza utumbo wakati watu tunautafuta kila asubuhi wapi.
Pale Ushirombo mara nyingi tukipita asubuhi kuna kibanda cha supu ya utumbo wa mbuzi na chapati. Ukifika saa nne tayari imeisha. Nadhani hata ya ng'ombe ipo ila mimi huwa napenda utumbo wa mbuzi.
Hata vijijini siku hizi vijana jioni wanapenda supu wakati wa kukata maji yao hivyo tuchangamkie hii kitu.
Big up mleta mada.
Sent using Jamii Forums mobile app