Utumishi mlikuwa na lengo gani kwa watahiniwa?

Ujinga wa meko kukimbilia Dodoma Mapema.
Nadhani mshkaji katolea mfano hata wa ilivyokua Dar, watahiniwa ilikua sio lazima waje Dar, zone offices zilifanya kazi, why kipindi hiki utumishi from Dodoma hawakuona hilo? Kwanini zonal offices hazikufanya hiyo kazi badala ya kumtoa mtu mkoani huko na kumpeleka Dodoma? Fikira mtu atoke Kigoma kwenda kwa interview Dar?? Kweli??
 
poleni sana vijana ndio muelewe kwamba CCM sio babayenu wala Mama yenu, komaeni tu na endeleeni kuunga mkono juhudi Asanteni sana
 
Utumishi kama wanataka hela za bure basi wapitis huu Uzi
 
Hizi ndio athari za kukwepa kuchoma mishikaki ya 200. Au kuchoma mahindi stendi kwa kujivika taji la usomi!😅
 
Hmn bas watu hawakutafuta guest Sana mm nililal mitaa ya nyerere square nilikuta vyumba na vinginevyo vilikuwa havina watu. All in all watu walizid Sana kwasababu watu wanatamani Sana kufanya Kaz TrA
TRA toka kitambo inajulikana ni sehemu yenye ulaji na dili chafu nyingi 😅
 
Ni.mda sasa hii mitihani iwe inafanyika kizonal ili kupunguza usumbufu kwa watahiniwa aisee, utumishi Wana kwama wapi hapo
 
Written ingekuwa Dar tuu maana usafiri na shida zingine tungeokoa wadogo zetu
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kwa taarifa yako kipindi cha Magufuli TRA ndio waliongezewa maradufu
Unafanya kazi TRA? Unajua salary review taasisi zipi ziliondolewa posho nyingi na mishahara ikapunguzwa? Magufuli aongeze mshahara? Hahahah hujui tu,uliza TPA,TPDC,TRA kilichowapata
 
nimekuelewa kaka shukrani.
ila hata huko kanda malalamiko yatakuwepo tu kuna wilaya zipo mbali hata kufikia makao makuu ya mikoa yao, hatuwezi kuwafurahisha watu wote ukizingatia sisi wasaka ajira wengi ni masikini sana kuna nyakati tunakosa hata mia 4 ya daladala
 
Unafanya kazi TRA? Unajua salary review taasisi zipi ziliondolewa posho nyingi na mishahara ikapunguzwa? Magufuli aongeze mshahara? Hahahah hujui tu,uliza TPA,TPDC,TRA kilichowapata
Unafanya kazi TRA? Unajua salary review taasisi zipi ziliondolewa posho nyingi na mishahara ikapunguzwa? Magufuli aongeze mshahara? Hahahah hujui tu,uliza TPA,TPDC,TRA kilichowapata
Mwendo ndo ule ule mkuu izo review ni tishia tishia tu nyie wananchi na posho zikizotolewa ni ulaghai ila watu wanakula maisha kama kawa
 
Kuokoa gharama zaidi, hata wasimamizi waliomba msaada UDOM na ile ya chuo cha Mipango waliwaomba huko Mipango!!
 
Kuokoa gharama zaidi, hata wasimamizi waliomba msaada UDOM na ile ya chuo cha Mipango waliwaomba huko Mipango!!
Wao ni taasisi ya Serikali wanaopewa ruzuku ya kujiendesha, sio profit oriented organization. Wanapowatesa ”wateja" wao kwa nia ya kubana matumizi sio sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…