Utumishi mlikuwa na lengo gani kwa watahiniwa?

Kufanyika mkoa mtu alipo Utumishi ndo wanatakiwa wapambane wafikie hatua hiyo ya Kidijitali kupunguza hizi lawama za Gharama za kuhudhuria usaili
And what if mtihani ungefanyikia mkoa uliko?
 
Umetumia akili yako vizuri sana kuhoji jambo hilo. Hapa ndipo unajiuliza hivi elimu zetu hizi zina msaada gani katika kutawala mazingira yetu? Kwanini uite watu 10000 labda kwa nafasi chini ya 400? Lakini kama walitaka kuwaita wote 10000, why wasingetumia zonal centres kwa mujibu wa address za waombaji au wasingewaita kwa awamu ya watu walau 1000 per day? Halafu watu wandhindwa nini kuwapa taarifa za logistics mapema kupitia mawasiliano yao? Kwanini mtu mweusi hata akisoma anakuwa mjinga tu?

Kwa hakika bado sijajua mtu mweusi (kwa ujumla wait) ana shida gani lakini?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Wewe bana ni mwanafunzi wa UDOM una pretend to be somebody else.... Ni kweli kulikua na interviews za hao watu lakini the rest of your story ni uongo mana coincidences ni nyingi mno
 
Mimi ni mhanga,umeongea ya ukweli Kabisa yani..
Ile asubuhi tuu kupata venue nimetumia 20k Kwa ajili ya boda tuu yani.
Dodoma was not ready for us.
Mtafutage wahitimu au wanafunzi wa UDOM wawape logistics jamani.... 20k unatumiaje kwa ajili ya Boda??? Kutoka college moja kwenda nyingine minimum buku amekomaa sana buku jero
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Wewe bana ni mwanafunzi wa UDOM una pretend to be somebody else.... Ni kweli kulikua na interviews za hao watu lakini the rest of your story ni uongo mana coincidences ni nyingi mno
Ili iweje Sasa?
Naomba tu nisikujibu sababu haitakusaidia wewe wala Mimi.
 
Hivi yale matokeo sijayasikia teeena au wameamua kuwapa vema wale waliokuwa na pepa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ