Utumishi mmegoma kutoa majina na vituo vya usahili kwa walimu

Utumishi mmegoma kutoa majina na vituo vya usahili kwa walimu

Joined
Jul 19, 2022
Posts
64
Reaction score
89
Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
 
Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
wakitoa ni tag mwenyew nina hamu nimalizane nao
 
Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
Kwahy umesitisha majukumu yako kisa kusubir usaili 😂 ww kweli kiazi aisee, sasa usipoitwa itakuaje 😂

Mzee, endelea kufanya mambo yako, wenzako wanafanya kazi zao huku wakiendelea kusubir
 
Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
Tulikuwa tunadhibiti kwanza maandamano ya Chadema, kwa sasa tunarudi kuwapangia vituo vya kuwakanda. Mkae kwa kutulia.
 
Back
Top Bottom