Utumishi mmegoma kutoa majina na vituo vya usahili kwa walimu

Utumishi mmegoma kutoa majina na vituo vya usahili kwa walimu

Utaratibu wa zamani wa kuwapangia tu vituo unaweza kutumika!! Vigezo vilishaainishwa!! Its a wastage of resources kufanyisha interview watu zaidi ya laki mbili!!
We jamaa ulikuwa na details sahihi,sema watu walikupinga, vigezo hivyo ni vipi?
 
Watu yalishawakuta si unaona misisitizo hiyo inavyokaziwa
Tunashukuru Hotuba ya Mhe. Waziri OR Sera Bunge na uratibu ametoa mwelekeo. Unajua hata kauli ya Mhe. Waziri Elimu kwamba mitihani Kwa waalimu itaanza mwakani nayo ilizidisha utata kidogo. Haikuwa Rahisi Kwetu sisi Ndugu na jamaa za waombaji.
 
Tunashukuru Hotuba ya Mhe. Waziri OR Sera Bunge na uratibu ametoa mwelekeo. Unajua hata kauli ya Mhe. Waziri Elimu kwamba mitihani Kwa waalimu itaanza mwakani nayo ilizidisha utata kidogo. Haikuwa Rahisi Kwetu sisi Ndugu na jamaa za waombaji.
Tusogezee hiyo video mkuu
 
Ilikuwa ni mbashara Kwenye TBC ufunguzi wa kikao Cha wakuu wa vitengo wizara ya utumishi na HR Seniors. Jaribu kutizama YouTube
nimeitafta lakini hola, alisemaje kwani kuhusu hizi Ajira za walimu.
 
nimeitafta lakini hola, alisemaje kwani kuhusu hizi Ajira za walimu.
Ameeleza Jana Kwa kirefu Sana Kwenye Hotuba akipigia chapuo usaili na kwamba sera ya utumishi inaelekeza ivy na pia akasema aliweza hata kusikia wale walioshindwa za afya ambao hawakuitwa waliridhika na kusema waliona walipokosea na Kwamba suala la ajira linaimpact ya Moja Kwa Moja Kwenye usalama wa Taifa.
 
Ameeleza Jana Kwa kirefu Sana Kwenye Hotuba akipigia chapuo usaili na kwamba sera ya utumishi inaelekeza ivy na pia akasema aliweza hata kusikia wale walioshindwa za afya ambao hawakuitwa waliridhika na kusema waliona walipokosea na Kwamba suala la ajira linaimpact ya Moja Kwa Moja Kwenye usalama wa Taifa.
ok fine blood.
 
Ameeleza Jana Kwa kirefu Sana Kwenye Hotuba akipigia chapuo usaili na kwamba sera ya utumishi inaelekeza ivy na pia akasema aliweza hata kusikia wale walioshindwa za afya ambao hawakuitwa waliridhika na kusema waliona walipokosea na Kwamba suala la ajira linaimpact ya Moja Kwa Moja Kwenye usalama wa Taifa.
Jamaa boya sana yule. Afu anajiona smart, nawaomba Sana wananchi wa jimboni kwake wasirudie Tena makosa haya uchaguzi wa 2025. Huyu anatakiwa ajiajiri kupalilia migomba huko kwao.
 
Back
Top Bottom