Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Sio Mwalimu mimi umenifanisha itakua
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Mwalimu mimi umenifanisha itakua
Vipi leo umekunywa Chumpumu, Ulanzi, Mbege, Nipa, Mnazi au Komoni?Sawa
😂Sio Mwalimu mimi umenifanisha itakua
watatoa leo usikuNi wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
Utaratibu wa zamani wa kuwapangia tu vituo unaweza kutumika!! Vigezo vilishaainishwa!! Its a wastage of resources kufanyisha interview watu zaidi ya laki mbili!!Ni wiki sasa tangu walimu waambiwe wa confirm their current address lakini mpaka mda huu kimya, Kuna watu hawaendelei na majukumu Yao kisa kusubiri hizo interviews ,kwa upande wa afya haikuchukua mda mrefu je ni kwamba wamezidiwa na idadi au ?
Mmmmm mbona ni hatari,,lakini serikali imejipanga, kila step ilionesha Kuna interview,,sidhani kama Kuna kupangia watu ajira bila interview sahivi.Utaratibu wa zamani wa kuwapangia tu vituo unaweza kutumika!! Vigezo vilishaainishwa!! Its a wastage of resources kufanyisha interview watu zaidi ya laki mbili!!
Subiri uoneMmmmm mbona ni hatari,,lakini serikali imejipanga, kila step ilionesha Kuna interview,,sidhani kama Kuna kupangia watu ajira bila interview sahivi.
Unaharaka?
Huu Muda jipange, interview inamambo mengi na ushindani na MkubwaMmm
Jamaaa kiazi kweliKwahy umesitisha majukumu yako kisa kusubir usaili 😂 ww kweli kiazi aisee, sasa usipoitwa itakuaje 😂
Mzee, endelea kufanya mambo yako, wenzako wanafanya kazi zao huku wakiendelea kusubir
Kweli ndugu ajipange, maana kufanya interview siyo kupata kazi.Unaharaka?
Huu Muda jipange, interview inamambo mengi na ushindani na Mkubwa
itanukaWalimu jipangeni usaili wenu umekaribia. Utumishi wanamaliza viporo vya halmashauri vyote kwanza.
Nani anawadharau ?Ila walimu mna viable hele hadi makazini wenzenu wa ajira 600 zilizotangazwa juzi dedline tar 30.
Sasa mtafanyaje usaili bila wao muwe na subira.
Ndo maana mnadharaulika
Ndugu mwalimu, nafahamu kuwa unaogopa sana usaili ila safari hii huna pa kukimbilia, usaili n lazima ufanye tuu 😂Utaratibu wa zamani wa kuwapangia tu vituo unaweza kutumika!! Vigezo vilishaainishwa!! Its a wastage of resources kufanyisha interview watu zaidi ya laki mbili!!
Waalimu n kama vile walemavu, wanataka ulaini kwenye kila kitu.Sema walimu 😎
😁😁😁😁Ndugu mwalimu, nafahamu kuwa unaogopa sana usaili ila safari hii huna pa kukimbilia, usaili n lazima ufanye tuu 😂
Nenda kaferi huku, uliniuzi kumbe una intavyuu kazi kuedit comment zangu.Sio Mwalimu mimi umenifanisha itakua