zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Sijasikia vizuri umesema?Mimi ni mjinga sana na nina kiwango kikubwa cha upumbavu maana nilifeli mtihani wa umbumumbu kwa hio mimi ni mbumbumbu muandamizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasikia vizuri umesema?Mimi ni mjinga sana na nina kiwango kikubwa cha upumbavu maana nilifeli mtihani wa umbumumbu kwa hio mimi ni mbumbumbu muandamizi.
We jamaa ulikuwa na details sahihi,sema watu walikupinga, vigezo hivyo ni vipi?Utaratibu wa zamani wa kuwapangia tu vituo unaweza kutumika!! Vigezo vilishaainishwa!! Its a wastage of resources kufanyisha interview watu zaidi ya laki mbili!!
Hii comment yako imenishtua nikadhani wametoa majina!We jamaa ulikuwa na details sahihi,sema watu walikupinga, vigezo hivyo ni vipi?
Dogo uko moto! Hizi ajira zitakutoa msamba,uwa zinakuwa na maumivu makaliHii comment yako imenishtua nikadhani wametoa majina!
Apunguze matarajio makubwa.Dogo uko moto! Hizi ajira zitakutoa msamba,uwa zinakuwa na maumivu makali
KabsaaaApunguze matarajio makubwa.
kabisa... tena apunguze matumaini.Kabsaaa
Tunashukuru Hotuba ya Mhe. Waziri OR Sera Bunge na uratibu ametoa mwelekeo. Unajua hata kauli ya Mhe. Waziri Elimu kwamba mitihani Kwa waalimu itaanza mwakani nayo ilizidisha utata kidogo. Haikuwa Rahisi Kwetu sisi Ndugu na jamaa za waombaji.Watu yalishawakuta si unaona misisitizo hiyo inavyokaziwa
Tusogezee hiyo video mkuuTunashukuru Hotuba ya Mhe. Waziri OR Sera Bunge na uratibu ametoa mwelekeo. Unajua hata kauli ya Mhe. Waziri Elimu kwamba mitihani Kwa waalimu itaanza mwakani nayo ilizidisha utata kidogo. Haikuwa Rahisi Kwetu sisi Ndugu na jamaa za waombaji.
Ilikuwa ni mbashara Kwenye TBC ufunguzi wa kikao Cha wakuu wa vitengo wizara ya utumishi na HR Seniors. Jaribu kutizama YouTubeTusogezee hiyo video mkuu
nimeitafta lakini hola, alisemaje kwani kuhusu hizi Ajira za walimu.Ilikuwa ni mbashara Kwenye TBC ufunguzi wa kikao Cha wakuu wa vitengo wizara ya utumishi na HR Seniors. Jaribu kutizama YouTube
Ameeleza Jana Kwa kirefu Sana Kwenye Hotuba akipigia chapuo usaili na kwamba sera ya utumishi inaelekeza ivy na pia akasema aliweza hata kusikia wale walioshindwa za afya ambao hawakuitwa waliridhika na kusema waliona walipokosea na Kwamba suala la ajira linaimpact ya Moja Kwa Moja Kwenye usalama wa Taifa.nimeitafta lakini hola, alisemaje kwani kuhusu hizi Ajira za walimu.
ok fine blood.Ameeleza Jana Kwa kirefu Sana Kwenye Hotuba akipigia chapuo usaili na kwamba sera ya utumishi inaelekeza ivy na pia akasema aliweza hata kusikia wale walioshindwa za afya ambao hawakuitwa waliridhika na kusema waliona walipokosea na Kwamba suala la ajira linaimpact ya Moja Kwa Moja Kwenye usalama wa Taifa.
Ok mkuuok fine blood.
Jamaa boya sana yule. Afu anajiona smart, nawaomba Sana wananchi wa jimboni kwake wasirudie Tena makosa haya uchaguzi wa 2025. Huyu anatakiwa ajiajiri kupalilia migomba huko kwao.Ameeleza Jana Kwa kirefu Sana Kwenye Hotuba akipigia chapuo usaili na kwamba sera ya utumishi inaelekeza ivy na pia akasema aliweza hata kusikia wale walioshindwa za afya ambao hawakuitwa waliridhika na kusema waliona walipokosea na Kwamba suala la ajira linaimpact ya Moja Kwa Moja Kwenye usalama wa Taifa.