Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

lakini daima mzungu azungumziwi kama aliwateza babu zetu tunasikia waarabu tu picha za kuchora lakini ya mzungu real picture
 
Ni superior people tu ndio walifanywa watumwa ili waaribiwe image yao kizazi na kizazi.
Think critically.
 
Ubaguzi wa kisiasa unaharibu maana, kwanza ondoa neno mbwa kwa binadamu mwenzako, pili kwa sababu zako binafsi umekwepa kuwahusisha waarabu ambao walihusika kwa kiasi kikubwa hapa kwetu. Inawezekana ukwepaji wako una uhusiano wa kidini. Mwisho hapa kwetu wanaotumia risasi za moto kupiga watanzania wasio na silaha ni nani, wazungu?
 
Sina agenda yoyote..., ila kiukweli ni kwamba waafrika bado ni watumwa..., waulize CCM watakuambia ni kweli au sio...
=====================================

Yaani huyu mzee ni level za Nyerere kabisa, anaitwa nani huyu?
Huyo MZee kichwa ile mbaya ..anaitwa doctor ..Lumumba toka kenye ..nakumbuka kipindi kile cha jk cha rasimu ya katiba alishawahi kushiriki katika mkutano wa mchakato wa katiba na kutoa hotuba moja matata sana pale UDSM
 
Nafikiria kuwa nå iman yangu kivyangu vyangu. Ctak Kuwa mtumwa. Sitaki tena kufuata utumwa wa kizungu nå kiarab. Nataka kujitambua Mimi kama mimi
huko mkuu " mie nilishajitoa katika hzo dini sitaki kabisa kuwasikia hao watu ..washenzi wakubwa laana iwe juu yao
 
wajapani waliwatawala wakorea pamaja na mataifa mengine ya asia nao vitendo vyao vilikuwa sawa na vya manyan'gau warabu+wazungu,soma historia
naam waliwatesa sana ndugu zao Hawa manyang'au ..baada ya utawala wao kuporomoka ndio USA NA USSR wkaamua kujimilikisha corea kusini na corea kaskazini" na huyo Japan alishawahi kuwa super power namba moja duniani...alikuwa anatoa mkong'oto mwanzo mwisho
 
Akili kubwa hii"" noted
 
safi sana ...akili kubwa hii
 
huko mkuu " mie nilishajitoa katika hzo dini sitaki kabisa kuwasikia hao watu ..washenzi wakubwa laana iwe juu yao
Laani ipi tena hali wao ndo wanakufanya uishi hata smartphone utumiao wametengeneza wao
 
hoja fikirishi hii"" mbaya zaidi tumekubali kuendelea kuzitumikia hizo dini pasipo kujua kuwa tunatumiwa...mimi na mambo tuko mbali mbali mnooo"" kama mchamungu na ulevi
 
asante faidha ...nimekuelewa hapa vyema tu""
 
Du kweli! Muarabu ndo alikuwa wakala wa kuchukua watumwa, na kwauza kwa mzungu, lakini uarabuni hakuna mtu mweusi, wala mabaki yake,
wapo wengi mnooo"" tatizo hamtembei ili kuweza kujionea aisee..""
 
Ndo waliotuletea maendeleo pia,tazama waliyoyafanya ccm haifikii hata robo kwa mda mfupi waliokaa kuliko mda ambao tangu l Africa imepata Uhuru karibia miaka 70 sasa bado twajikongoja,usisome history iliyoandikwa kwa kuegemea upande mmoja mbaya,huwezi linganisha uchumi wa kikoloni,na uchumi wa baada ya Uhuru,enzi za ukoloni maisha yalikuwa bora na yenye uhakika kuanzia elimu kwa aliyeitaka,( elimu bora),matibabu bora,njaa haikuwepo watu walilazimishwa kulima, masoko ya mazao yalikuwa tele,ajira za mashambani,na viwandani zilikuwa tele hakukuwa na shida ya ajira,Uhuru wa kufanya biashara ulikuwa tele,ndo Maana kulikuwa na wafanyabiashara weusi wengi tu wakubwa,miji ilijengwa.nk
 
hiyo ndio mantiki ya utumwa wewe sasa mkuu"" yaani watu wana amino kuwa race za hao watu ni bora kiasi kwamba wanaanza kupingana wao kwa wao ambao mababu zao ndio victims wa huo utumwa """ hatari sana hii""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…