Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

huwezi kuwa dependent then ukakosa utumwa, mzungu hakuzuia utumwa kwa wema bali kwa manufaa ya kiuchumi.
 
Mtoa mada umekosea tu uliposema WENYE AKILI ZAO..

mwenye akili hatekwi kizembe hivyo
 
wajapani waliwatawala wakorea pamaja na mataifa mengine ya asia nao vitendo vyao vilikuwa sawa na vya manyan'gau warabu+wazungu,soma historia


Hamjui mjapan huyo

Mjapan aliicolonize Korea (Korea zote mbili; North&South) alienda Korea akawakataza hata kutumia Alphabets zao, wakafanywa baadhi ya wanawake wa kikorea kama sex slaves kwa ajili ya majeshi ya mjapan
 
Mungu alipeleka Manabaii na mitume kwa Wazungu na Waarabu ili kupunguza makali ya uovu wao.
Nabii Yesu alisema yeye aikuja kwa ajili ya wenye dhambi.
Watu weusi hawahuwa na dhambi ndiyo maana Yesu hakuja kwetu.
Baadaye Yesu alijua kuwa ujumbe wake utafika kwa watu Weusi na akasema, Heri wale waamiao bila kuona.
Bila ujio wa Nabii Yesu na utume wa Mtume Mohamad, Dunia hii leo isingekuepo kwa sababu ya ukatili wa Waarabu na Wazungu.
 
tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu
mkuu Waarabu walikuwa ni wenyeji wa pwani ya bahari ya Hindi visiwaa vyote ndani ya bahari hii mwaeabu ndio alikuwa mtawala na mmiliki. ikumbukwe waarabu waliofanya biashara hii ni wale shombeshombe yaani baba Mwarabu ila mama ni Mnyamweiz kama vile Tipp Tip (Hemed bin Mohammed), Rumaliza na Mlozi hivyo waalikuwa na ufahamu mkubwa wa bara na pwani kwani hata wakati wako wadogo waliongozana na baba zao ktk biashara ya ivory.
KWANINI KIZAZI HAKIPO
1/mwarabu alikuwa ni mfanyabiashara tu na sio mtumiaji kwa maana kanunua watumwa nchini then anatafuta soko liliko. asilimia kubwa ya watumwa toka Afrika Mashariki walinunuliwa Zanzibar, Comoro na Mauritius ambako nako wenye mashamba walikuwa waarabu wa;owezi pia.
2/Uarabuni hakukuwa na mashamba ya watumwa hao kufanya kazi hivyo hawakupelekwa huko badala yake walipelekwa kwenye investments zao visiwani na along the coast.
3/Mwarabu alimuuzia Mreno baadhi ya watumwa. mreno alikuwa na mashamba makubwa huko Brazil.
NB: Mwarabu alikuwa mnunuzi tu sio mtumiaji kama ilivyo kwa wazungu, Uarabuni hakukuwa na mashamba bali yalikuwepo visiwani kama vile ZNZ,COMORO,Mauritius etc
 
 
Definition ya mtu mweusi kwa Wachina ni; jitu kubwa jeusi linaloishi porini na halitakiwi kuishi hapa duniani.
Ukitaka kujua Mchina hampendi mweusi check maziwa yaliyoletwa toka China na kuingizwa hapa nchini yalikuwa na vimelea vya sumu 2012/2013; samaki walio haribiwa na serikali ya Tz baada ya kugundulika kuwa wana sumu wakitokea China 2019. Angalia dawa zao za kuharibu sura za mabinti zetu japo kwa ujinga wao wa kuongeza makalio. Rangi nyeupe (Europeans and Asians) siyo rafiki kbs kwa Mweusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata watu weusi walikuwa wanauzana wenyewe kwa wenyewe na mpaka leo bado wanauzana. Haikuwa monopoly ya Wazungu na Waarabu pekee.
Bi ndogo ukiweka udini na uchama pembeni unapendeza sana umeongea ukweli acha nikupongeze hizi biashara bado zinaendelea kimtindo hapa kwetu ccm waifanya kivingine
 
niliona ile movie 12 years a slave ......

yaani mtu anapigwa halafu analazimishwa kusema jina lake la kiutumwa.
(Brain washed ) baada ya muda mtu anajiita mtumwa na anaamini alizaliwa kuwa mtumwa.

Ni kitu ambacho bado nakitafakari .
Hata kizazi kijacho watakuja kutushanga kama sisi tunavyo shangaa utumwa kwa kutawaliwa na ccm
 
Mimi ndo maana nilikataa kuwa Muislam, Hata nikipita karibu na msikiti damu yani sisimka.

Ndugu zangu ni wa manga manga hivi weusi tuko wawili ktk familia yetu, yanayo tokea hapa nyumbani? enheee!

ngoja kwnza...........
 
Wasomi wa mifumo ipi mkuu! Hiyo hiyo ya Kizungu?.
 
Kama wanafanyiwa unyama! Kwa nini mpaka leo bado wanatamani kwenda kufanya hizo kazi?.
Kwako,kwenu kunawafanya kazi wa kazi za ndani/shambani?.
Je,wewe hao wafanyakazi wako uwaruhusu kutembea hovyo? Wakwenu nao uruhusiwa kutembea hovyo?.
Je,huko uarabuni wanatamaduni zilizosawa na hapa Tz za kutembea hovyo tu?.
 
Well said mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…