Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jun 9, 2021 #2 Sawa maana hakuiba mali za umma, vipi ikiwa huyo kiongozi alikuwa mwizi wa mali za umma?
comte JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 9,019 Reaction score 6,825 Jun 9, 2021 Thread starter #3 Babati said: Sawa maana hakuiba mali za umma, vipi ikiwa huyo kiongozi alikuwa mwizi wa mali za umma? Click to expand... Hayo hayatuhusu atahukumiwa na Mungu wake
Babati said: Sawa maana hakuiba mali za umma, vipi ikiwa huyo kiongozi alikuwa mwizi wa mali za umma? Click to expand... Hayo hayatuhusu atahukumiwa na Mungu wake
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jun 9, 2021 #4 comte said: Hayo hayatuhusu atahukumiwa na Mungu wake Click to expand... Kuna haja gani ya kuwa na magereza kama anayehukumu ni MUNGU?
comte said: Hayo hayatuhusu atahukumiwa na Mungu wake Click to expand... Kuna haja gani ya kuwa na magereza kama anayehukumu ni MUNGU?
comte JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 9,019 Reaction score 6,825 Jun 9, 2021 Thread starter #5 Babati said: Kuna haja gani ya kuwa na magereza kama anayehukumu ni MUNGU? Click to expand... Sijui kwa nini mliweka magereza. Utambue kule magerezani wapo waliotuhumiwa, walioonewa na waliokosa - ila hukumu ya haki ni ya Mungu tu.
Babati said: Kuna haja gani ya kuwa na magereza kama anayehukumu ni MUNGU? Click to expand... Sijui kwa nini mliweka magereza. Utambue kule magerezani wapo waliotuhumiwa, walioonewa na waliokosa - ila hukumu ya haki ni ya Mungu tu.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jun 9, 2021 #6 comte said: Sijui kwa nini mliweka magereza. Utambue kule magerezani wapo waliotuhumiwa, walioonewa na waliokosa - ila hukumu ya haki ni ya Mungu tu. Click to expand... Kila mtu apambane na hali yake mkuu
comte said: Sijui kwa nini mliweka magereza. Utambue kule magerezani wapo waliotuhumiwa, walioonewa na waliokosa - ila hukumu ya haki ni ya Mungu tu. Click to expand... Kila mtu apambane na hali yake mkuu