Utunzaji wa nywele za asili

Utunzaji wa nywele za asili

Pia unapochana nywele zako tumia chanio kubwa, chana kuanzia chini kwenda juu watu wengi awachani nywele zao vzuri
Yy akilaza tu basi. Just nywele inakuwa kwaiyo inakuwa inajifunga chini
Kabla ujachana paka mafuta ya nywele usaidia kulainisha nywele
Then chukua kitana kidogo pitisha ili zinyoke vizuri

Kingine usipe kubana nywele zako mfano kidoti mara kwa mara usababisha nywele kuto pumua vizur
Nadhani Ni vizuri zaidi kuanzia juu kuchambua zilizoshikana uelekee chini.
Baada ya hapo ndo uanze chini kuelekea juu..kuanzia chini kwenda juu moja kwa moja naona inakata nywele zaidi...
 
Habarini zenu wana jamii,

Mimi ni msichana nasoma nipo chuo, tatizo langu ni kwamba, nywele zangu ni nyepesi sana, yaani laini, kwahiyo nikichana huwa zinakatika.

Jambo hili linanitesa sana, dawa ya nywele ninayotumia ni MEGA RELAX na steaming ya mayonise.

Naombeni ushauri wadau, pia niliwahi kushonea nilipofumua, nywele za mbele zilikatika, kwahiyo nywele zangu katikati ndefu mbele fupi na hizo ndefu nikichana zinakatika.

Ushauri jamani
nami labda nikushuhudie kitu nilichogundua katika dawa ya mega, dawa ya mega ukiianza nywere inakua nzuri sana na inajaa ila ukiiweka kama ma4 na kuendelea nywele zinakatika hasa ukitoka kuosha ukichana unaona kabisa nywere zinaishia kwenye kitana.. mi kwa sasa nimeachana nayo imenifanya ninyoe nirudi katika nywere za asili naweka.
 
Suka style za twende kilioni mara nyingi nywele itaota tu,make sure u steam n moisturize frequently
Usiweke dawa,nyepesi manake rahisi kuchana
Madawa waachie wenye nywele ngumu
Chagua shampoo,steaming, conditioner na mafuta aina moja stick to them,nywele kukatika yawezekana haina mafuta, I know Blue Magic ni mazito yanakaa kwny nywele so hamna breakage
Ama check hawa naturalista's instagram ni wengi sikuiz uone products zao,wengi nywele zao ziko very healthy
 
Suka style za twende kilioni mara nyingi nywele itaota tu,make sure u steam n moisturize frequently
Usiweke dawa,nyepesi manake rahisi kuchana
Madawa waachie wenye nywele ngumu
Chagua shampoo,steaming, conditioner na mafuta aina moja stick to them,nywele kukatika yawezekana haina mafuta, I know Blue Magic ni mazito yanakaa kwny nywele so hamna breakage
Ama check hawa naturalista's instagram ni wengi sikuiz uone products zao,wengi nywele zao ziko very healthy
Nywele zangu nyepesi na kipilipili nisipoweka dawa hazivutii
 
Namna ya kujaza nywele kwa njia za asili

Hilo linawezekana kwa kufanya yafuatayo.

  1. Chukua parachichi kubwa moja, asali vijiko vitatu na kiini cha yai.
  2. Osha nywele zako kwa shampoo na uzikaushe.
  3. Ponda ponda parachichi mpaka lilainike kabisa. Chukua vijiko vitatu vya asali na kiini cha yai kisha changanya yote kwa pamoja.
  4. Paka mchanganyiko huo kaa nao kwa muda wa dakika 15 kisha osha.
  5. Fanya hivyo kwa muda wa wiki moja hadi mbili na utaweza kuona matokeo mazuri katika nywele yako.


Chanzo: muungwana
 
Ngoja nifanye katika kidevu ili niwe na ndefu.. Maana sina
aada0f4382fdf1e638d00d1ca4070730.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila nywele inakuwa kacha kacha!mie ndo steaming yangu lakini nimeacha!...nywele inakuwa kavu sana sana
 
Namna ya kujaza nywele kwa njia za asili

Hilo linawezekana kwa kufanya yafuatayo.

  1. Chukua parachichi kubwa moja, asali vijiko vitatu na kiini cha yai.
  2. Osha nywele zako kwa shampoo na uzikaushe.
  3. Ponda ponda parachichi mpaka lilainike kabisa. Chukua vijiko vitatu vya asali na kiini cha yai kisha changanya yote kwa pamoja.
  4. Paka mchanganyiko huo kaa nao kwa muda wa dakika 15 kisha osha.
  5. Fanya hivyo kwa muda wa wiki moja hadi mbili na utaweza kuona matokeo mazuri katika nywele yako.


Chanzo: muungwana
Ngoja na mimi nikajaribu.
jfl12_BaldheadPhillips_715x353_051520120645.jpg
 
Back
Top Bottom