Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Nipe jmn queenAlaaa kumbee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe jmn queenAlaaa kumbee.
Yai zima,haina haja ya kuosha nywele kabla,unapaka uo mchanganyiko wa yai na hinna then baadae ndo uoshe kwa maji ya kawaida.Unaweka yai zima au ni kiini tu? Na katka kuweka unaosha kwanza?
Ooh thanks na hyo haiwez kua na madhara yoyote kwenye ngozi ya kichwaYai zima,haina haja ya kuosha nywele kabla,unapaka uo mchanganyiko wa yai na hinna then baadae ndo uoshe kwa maji ya kawaida.
Mm natumia kila baada ya siku nne,tangu nianze nina mwaka sasa na hamna madhara yyt,inakaza miziz ya nywl zinakua madhbut hazitoki toki ovyo na zinakua na afyaOoh thanks na hyo haiwez kua na madhara yoyote kwenye ngozi ya kichwa
Mtu ukiona nywl zawa nyekund ujue hapendag mafuta uyo,mana nywl zinazopakwa mafuta kila siku hata ukitia hina nywl hazibadilik rang yke ya asil,kichwa kila siku kitiwe mafuta na umassage,mm hazijawah kubadilika,zabadilika kwa mbaliii,nkipaka mafuta tu zinarejea rang ya asil(black)Je hina haizifanyi nywele kuwa nyekundu?
Asante jamn yan nlikua na nywele ndefu ila naona znakatka sana skuiz mpaka watu wananiuliza kwanin nmenyoa nawaambia cjanyoa hawaelewi ntaenda kujaribu hii i hope nywele zang ztarud ntakupa mrejesho dearMm natumia kila baada ya siku nne,tangu nianze nina mwaka sasa na hamna madhara yyt,inakaza miziz ya nywl zinakua madhbut hazitoki toki ovyo na zinakua na afya
Zitarudi tu kipenzi,unajua nywele ukizishuulikia zinakua na afya ,kichwa osha kila baada ya izo siku nne kila baada ya kupaka hina.Asante jamn yan nlikua na nywele ndefu ila naona znakatka sana skuiz mpaka watu wananiuliza kwanin nmenyoa nawaambia cjanyoa hawaelewi ntaenda kujaribu hii i hope nywele zang ztarud ntakupa mrejesho dear
Aya mamii ntafanya hvyo ubarikiweZitarudi tu kipenzi,unajua nywele ukizishuulikia zinakua na afya ,kichwa osha kila baada ya izo siku nne kila baada ya kupaka hina.
This is how you do it:
Wlcm dear[emoji10]Aya mamii ntafanya hvyo ubarikiwe
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]Loooh [emoji23][emoji23][emoji23] kwani unataka kuota manyoya mwili mzma?
Hio mix unatumia kwa nywel aina zote ndefu au fupi,ngumu au laini,ndani ya three months tu utaanza kuona mabadilikoHiyo hinna ya unga yapatikana wapi na hii kitu unaweza fanya hata kwa nywele ambazo hazijaanza kusukwa yani ile nywele bado hazijafikia kusuka inawezekana ku apply hii kitu au mpaka zikuekue?
MmeanzaNapenda sana nije nimuoe mwarabu.
Ha ha ha[emoji1] [emoji1]Mmeanza
Arabian queen
Mbona unajihangaisha sana kwa mayai na ghasia zote hizo? Aunt Zainab ana udongo wake wa ajabu sana, unapaka tu kichwani kama conditioner na matokeo yake kuanzia siku ya kwanza ni ajabu kabisa. Nywele zinaacha kukatika, nywele zinakuwa na nguvu na zinaota kwa kasi ya ajabu, hata kama ulikuwa na kipara cha madawa ya nywele zinarudi, jionee: Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay
Halafu hilo jimama la ki Tamim, jiarabu lenzako hilo.
Pia udongo wake kwenye ngozi ndiyo funga kazi. Kuliko liwa kuliko dawa yoyote ile ya ngozi.