neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,849
- 2,132
Hureeeeeee
Wafugaji wenzangu leo nina furaha sana..katika safari hii ya ufugaji wa kuku wa kienyeji niliyoanza mwezi wa nane mwaka huu.
Leo nimefanikiwa kupata vifaranga 23. Mpango nilionao ni kuwa vifaranga hawa walelewe na mama mmoja (wameanguliwa na mama wa wawili). Huu ni ujuzi niliojifunza katika uzi wa Kubota. Hofu yangu kubwa: je mama mmoja ataweza kuwatunza na kuwapatia joto vifaranga hawa bila nyongeza ya joto la jiko au taa?
pili..kwa ufahamu niliopata kwa kujisomea vifaranga wanahitaji chakula starter, glucose, antibiotic..na baada ya siku 7 chanjo ya new castle ikifatiwa na gumboro baada ya siku 14.
tafadhali wapendwa wafugaji naombeni jibu kwa swali la kwanza..na sehemu ya pili naomba kama kuna jambo lingine naweza kufanya kwa ajili ya uhai wa vifaranga hawa..
Plziiiiiii njooni Chasha Poultry Farm Mama Joe Kubota GAZETI.. atal
Update..
Heri ya mwaka mpya wajasiriamali. Nashukuru Mungu nimeuona.. na hii ndio update ya kuku wangu. Vifaranga wamekua sana mwezi mmoja na wiki kadhaa, nimejifunza mengi.. na kwa sasa nina changa moto ya ugonjwa(Nakazana na matibabu kwa sasa), but sikati tamaa.
Update ..18/2/2015
Shikamoo mdondo ,Shikamoo ufugaji ...
Mapambano yanaendelea... aluta continue hakuna kurudi nyuma.
Hii ni update ya maendeleo ya vifaranga wangu. Kwa kipindi cha January - February, wameugua sana. Na kati ya vifaranga 44 wamekufa 16 hadi sasa. Walikuwa wamekuwa kweli umri wa miezi mitatu. Tatizo kubwa ni mdondo,nina hofu huenda niliuziwa chanjo ilioharibika ama nilharibu mwenyewe kwenye kuandaa. Ingawa chanjo hii niliwapa kwa awamu 2 (wki ya 1 na ya 3)na wakati wa kuugua nimewapa dawa kulingana na ushauri wa watalaamu. Vifo vinakatisha tama but hakuna kushindwa.
Wafugaji wenzangu leo nina furaha sana..katika safari hii ya ufugaji wa kuku wa kienyeji niliyoanza mwezi wa nane mwaka huu.
Leo nimefanikiwa kupata vifaranga 23. Mpango nilionao ni kuwa vifaranga hawa walelewe na mama mmoja (wameanguliwa na mama wa wawili). Huu ni ujuzi niliojifunza katika uzi wa Kubota. Hofu yangu kubwa: je mama mmoja ataweza kuwatunza na kuwapatia joto vifaranga hawa bila nyongeza ya joto la jiko au taa?
pili..kwa ufahamu niliopata kwa kujisomea vifaranga wanahitaji chakula starter, glucose, antibiotic..na baada ya siku 7 chanjo ya new castle ikifatiwa na gumboro baada ya siku 14.
tafadhali wapendwa wafugaji naombeni jibu kwa swali la kwanza..na sehemu ya pili naomba kama kuna jambo lingine naweza kufanya kwa ajili ya uhai wa vifaranga hawa..
Plziiiiiii njooni Chasha Poultry Farm Mama Joe Kubota GAZETI.. atal
Update..
Heri ya mwaka mpya wajasiriamali. Nashukuru Mungu nimeuona.. na hii ndio update ya kuku wangu. Vifaranga wamekua sana mwezi mmoja na wiki kadhaa, nimejifunza mengi.. na kwa sasa nina changa moto ya ugonjwa(Nakazana na matibabu kwa sasa), but sikati tamaa.
Update ..18/2/2015
Shikamoo mdondo ,Shikamoo ufugaji ...
Mapambano yanaendelea... aluta continue hakuna kurudi nyuma.
Hii ni update ya maendeleo ya vifaranga wangu. Kwa kipindi cha January - February, wameugua sana. Na kati ya vifaranga 44 wamekufa 16 hadi sasa. Walikuwa wamekuwa kweli umri wa miezi mitatu. Tatizo kubwa ni mdondo,nina hofu huenda niliuziwa chanjo ilioharibika ama nilharibu mwenyewe kwenye kuandaa. Ingawa chanjo hii niliwapa kwa awamu 2 (wki ya 1 na ya 3)na wakati wa kuugua nimewapa dawa kulingana na ushauri wa watalaamu. Vifo vinakatisha tama but hakuna kushindwa.