Nitumie hizo namba ili wachukue hatua haraka.
Taka hizi zina masalia ya kemikali mbalimbali ambazo zikiachwa kusambaa katika eneo hilo ambalo maji hujaa na kutuwama KWA kipindi kirefu, ni hatari KWA afya na maisha ya wakazi wa eneo hilo lililopo Salasala nyuma ya KANISA LA NABII FLORA.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa ndiye anaratibu uhalifu huu.