Utupu wako ndio utu wako, sio pesa

Utupu wako ndio utu wako, sio pesa

ndandambuli

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
948
Reaction score
641
Unaanzaje kumkashifu mwanaume ambaye tayari kaona utupu wako, hoooo wewe fala umenihonga zaidi ya milioni halafu mimi nimekupa mara moja tu, kabao kenyewe kamoja tu ka kichovu, je hiyo pesa ina thamani kuliko mwili wako?

Je, angekugonga mabao mia pesa yake ingerudi? Kama ulitoa nanii baada ya kupewa pesa je unanunuliwa?

Hata uhongwe milioni mia mwili wako unathamani kuliko chochote, ukiufunua tu kuwa mpole mheshimu sana uliyemfunulia vinginevyo unakuwa unajidhalilisha tu.
 
Hayo ni MAWAZO yako mkuu, wenzio pesa ndiyo kila kitu uchi hata mtoto mchaga anao.

Kwahiyo Kama Ex wako anajinasibu kakuchuna kwa kibao kimoja ujue kuwa hukumfikisha alipozoea, maana ungemsugua vilivyo hata hizo kashfa usingezisikia,.

Kashfa hukufanya kuwa imara. Kajipange upya blaza.
 
Hayo ni MAWAZO yako mkuu, wenzio pesa ndiyo kila kitu uchi hata mtoto mchaga anao.

Kwahiyo Kama Ex wako anajinasibu kakuchuna kwa kibao kimoja ujue kuwa hukumfikisha alipozoea, maana ungemsugua vilivyo hata hizo kashfa usingezisikia,.

Kashfa hukufanya kuwa imara. Kajipange upya blaza.
Utupu wako ndio utu wako, hata umsugue kwa msasa wa chuma akojoe damu hakukurejeshei heshima (utu) uliyo kuwa nayo kabla,mtaani utatambulika kwa usuguaji.
 
Mkuu endelea kusanya fedha. Sisemi tafuta maana hamna mahali umepoteza. Kukusanya fedha ni muhimu mambo ya utupu weka kando. Hakuna mtu atakuelewa hapa. Maana fedha ni jawabu la mambo mengi.
 
Hayo ni MAWAZO yako mkuu, wenzio pesa ndiyo kila kitu uchi hata mtoto mchaga anao.

Kwahiyo Kama Ex wako anajinasibu kakuchuna kwa kibao kimoja ujue kuwa hukumfikisha alipozoea, maana ungemsugua vilivyo hata hizo kashfa usingezisikia,.

Kashfa hukufanya kuwa imara. Kajipange upya blaza.
ukweli unaouma, kuna watu hawaamini kuwa wapo watu wanathamini pesa kuliko viungo vyao wenyewe na wanauza poa tu kwani unaondoka nacho? 😎
 
Unaanzaje kumkashifu mwanaume ambaye tayari kaona utupu wako, hoooo wewe fala umenihonga zaidi ya milioni halafu mimi nimekupa mara moja tu, kabao kenyewe kamoja tu ka kichovu, je hiyo pesa ina thamani kuliko mwili wako?

Je, angekugonga mabao mia pesa yake ingerudi? Kama ulitoa nanii baada ya kupewa pesa je unanunuliwa?

Hata uhongwe milioni mia mwili wako unathamani kuliko chochote, ukiufunua tu kuwa mpole mheshimu sana uliyemfunulia vinginevyo unakuwa unajidhalilisha tu.
Makubwa haya
 
Hayo ni MAWAZO yako mkuu, wenzio pesa ndiyo kila kitu uchi hata mtoto mchaga anao.

Kwahiyo Kama Ex wako anajinasibu kakuchuna kwa kibao kimoja ujue kuwa hukumfikisha alipozoea, maana ungemsugua vilivyo hata hizo kashfa usingezisikia,.

Kashfa hukufanya kuwa imara. Kajipange upya blaza.
Hauwezi kumridhisha kila mwanamke unayekutana nae kwasababu wanawake wanaendeshwa na hisia , mara nyingi wanaume huwa wanaridhika kwa vile ni rahisi kumwaga hawaendeshwi kwa hisia sana. Tundu lolote mwaume akiingia ni kumwaga tu.
 
Hayo ni MAWAZO yako mkuu, wenzio pesa ndiyo kila kitu uchi hata mtoto mchaga anao.

Kwahiyo Kama Ex wako anajinasibu kakuchuna kwa kibao kimoja ujue kuwa hukumfikisha alipozoea, maana ungemsugua vilivyo hata hizo kashfa usingezisikia,.

Kashfa hukufanya kuwa imara. Kajipange upya blaza.
Huwajui vizuri wewe,unataka kuniambia wote wanaokashfiwa hawajui kusugua?
 
Mkuu endelea kusanya fedha. Sisemi tafuta maana hamna mahali umepoteza. Kukusanya fedha ni muhimu mambo ya utupu weka kando. Hakuna mtu atakuelewa hapa. Maana fedha ni jawabu la mambo mengi.
Hujanielewa wewe tu mkuu
 
Back
Top Bottom