Utupu wako ndio utu wako, sio pesa


πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Ni kwasababu kaufuja mwili wake,wapo waliozaa na wanaithamini miili yao
Pia kama mlikuwa kwenye uhusiano ni kitu cha kawaida tu,kwa sababu ili viungo vyenu vikutane lazima muwe kama mlivyozaliwa
 
Halafu bahati mbaya sana sijachunwa mjini,mjini tunanunua tu kuanzia elfu 5 mpaka 10,000.
Milioni moja inanunua malaya zaidi ya mia
Pole sana kwa kuchunwa kijijini, [emoji38]

Kama nakuona ulivyogeuzwa ATM in hope atakua mke wa kutulia nae ndani baadae anakitangaza Kibamia chako mitaani tena anaongezea hakina afya,

[emoji2440][emoji2440][emoji2440]
 
Pole sana kwa kuchunwa kijijini, [emoji38]

Kama nakuona ulivyogeuzwa ATM in hope atakua mke wa kutulia nae ndani baadae anakitangaza Kibamia chako mitaani tena anaongezea hakina afya,

[emoji2440][emoji2440][emoji2440]
Tena nilitoa cash M moja,hizi 50,000 hata hazina idadi alikula nyingi sana,kuna watu wamezaliwa na nyota zao sio nyota zenu hizo mnazopewa na wanaojiita waganga wa jadi,kumpata wa kumchuna laki tu shida.
 
Tena nilitoa cash M moja,hizi 50,000 hata hazina idadi alikula nyingi sana,kuna watu wamezaliwa na nyota zao sio nyota zenu hizo mnazopewa na wanaojiita waganga wa jadi,kumpata wa kumchuna laki tu shida.
Hahahaha ama kweli una nyota ya bundi, ukaliwa pesa zote hizo na ukaambulia kupiga mara moja tu,

Ila sishangai wenye vibamia hua mnajitahidi sana kuhonga ili mstiriwe aibu zenu.

Nayahisi maumivu yako hadi ukaja kufungua uzi JF,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ujue pesa ni Mungu wa dunia, sasa kautu kako unakalinganisha na Dola? Pesa ni kila kitu, unacheka kipesa, unalia kipesa, unacheza kipesa, unafanya kila kitu kipesa. Hata kungekuwa na uwezekano wa kuhonga kifo unahonga, jeuri ya pesa!
 
[emoji1550]

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Huwa sihangaiki kumridhisha mwanamke,mungu kamuumba vizuri tu lakini bado mikope ya bandia yaani kila kitu fake,hata mshindo nao fake, naitwa dali kimoko yaani mimi ni kimoja tu nasepa.
 
[emoji1550]View attachment 1918276

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Daaahh πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Huwaga wanajipaga moyo na kujifisha ujasiri fake mbele za watu, ila wakiwa peke yao huwa wanakili wanahitaji wanaume, tena wengi tu. Mimi kuna mabinti 35+ washakili kwa kinywa chao mbele yangu wanahitaji watu.

Husifanye masihala na upweke, upweke unaua, unaweza kukufanya ukose furaha hata akili yako isitulie vizuri, kuna kipindi unaweza kumtafuta mtu ili mradi akukele na husimpate hata nzi na mbu nao wanakukimbia,mwisho wa siku mali zote unazo miliki unaziona kama hazina maana.
 
Huwa sihangaiki kumridhisha mwanamke,mungu kamuumba vizuri tu lakini bado mikope ya bandia yaani kila kitu fake,hata mshindo nao fake, naitwa dali kimoko yaani mimi ni kimoja tu nasepa.
Mridhishe unayempenda tu sio wote
 
Kinakuwa kibamia kwa mwenye bwawa, kwa mwenye mnato tango,unaziona nyingi sana hujawahi kuchuna kiasi hicho kwasababu huna hadhi,wenye hadhi zao hizo ni pesa ndogo sana watu wanajengewa magorofa sembuse milioni moja,halafu jiulize huyo anayehonga milioni moja mfukoni anakuwa nazo ngapi
 
Acha kujimwambafai umeona aibu wanaume wenzio wamekuzodoa hapa,

Ungekua na hela ungekuja kuanzisha uzi wa kuchunwa JF???

Unadhani ukiniattack mimi ndo itabadilisha uhalisia kua umeliwa kihela chako cha ngama na bado umeambulia kimoja na siri yako ya kibamia ipo mtaani,

Hurumaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja tu nikubali kushindwa na kibamia changu,milioni moja imekuuma utafikiri kachunwa mumeo.
 
Huu ni ukweli ambao ni mchungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…