Uturuki inaituhumu Israel kwa genocide kwa Wapalestina. Je, wao wamesahau walichowafanyia Wakristo wa Armenia?

Uturuki inaituhumu Israel kwa genocide kwa Wapalestina. Je, wao wamesahau walichowafanyia Wakristo wa Armenia?

Huyu Edrogan huwa anamtuhumu sana Netanyahuu kuhusu palestina ila yeye ameteketeza wakurdi sana yaani waislamu huwa ni wanafiki na lia lia wanachokifanya wao huwa hawajioni ila wanayaona ya wenzao
Amewaua snaaaaaaaaaaaa
 
Kwa sababu uliharibu ujanani ndiyo iwe sababu ya kufumbia makosa uzeeni?- Two wrongs don't make it right.
 
Mamlaka ya uturuki iliwaua Waarmenia kati ya 600,000 hadi 1,500,000.

Mnamo tarehe 24 Aprili 1915, mamlaka ya Ottoman ilikamata na kufukuza mamia ya wasomi na viongozi wa Armenia kutoka Constantinople.

Kwa amri ya Talaat Pasha, wastani wa Waarmenia 800,000 hadi milioni 1.2 walipelekwa kinguvu kwenye Jangwa la Syria mwaka wa 1915 na 1916.

Wakiwa wana pelekeshwa kinguvu na wanajeshi, waliohamishwa walinyimwa chakula, maji na kufanyiwa unyang’anyi, kubakwa na kuuliwa. Katika Jangwa la Syria, walionusurika walitawanywa katika kambi za mateso.

Mnamo 1916, wimbi jingine la mauaji lilifanyika huku likiwaacha pekee wahamishwa wapatao 200,000 wakiwa hai hadi kufikia mwisho wa mwaka.

Takriban wanawake na watoto 100,000 hadi 200,000 wa Armenia waligeuzwa kwa lazima kuwa Waislamu na kujumuishwa katika kaya za Kiislamu.

Mauaji haya ya halaiki yalikomesha zaidi ya miaka elfu mbili ya historia ya Armenia katika mashariki Anatolia. Pamoja na mauaji ya halaiki na kufukuzwa kwa Wakristo na Waorthodoksi, iliwezesha kuundwa jaamhuri ya uturuki.

1915 sio 2024 ni zaidi ya miaka 100, wakati huo kila nchi ilikuwa na ubabe wake, hata sisi huku tulitawaliwa na wakoloni ambao ndio hao hao sasa hivi wanampa Silaha Ukraine ili asitawaliwe na Russia (mkoloni mpya)
 
Huyu Edrogan huwa anamtuhumu sana Netanyahuu kuhusu palestina ila yeye ameteketeza wakurdi sana yaani waislamu huwa ni wanafiki na lia lia wanachokifanya wao huwa hawajioni ila wanayaona ya wenzao
Hakuna nchi ambayo sio nafiki iwe ya waislamu au ya wakristo, US alivamia Iraq kwa hoja ya silaha za maangamizi lakini hakuna walichopata, walitumia uongo kutimiza malengo yao
 
Mamlaka ya uturuki iliwaua Waarmenia kati ya 600,000 hadi 1,500,000.

Mnamo tarehe 24 Aprili 1915, mamlaka ya Ottoman ilikamata na kufukuza mamia ya wasomi na viongozi wa Armenia kutoka Constantinople.

Kwa amri ya Talaat Pasha, wastani wa Waarmenia 800,000 hadi milioni 1.2 walipelekwa kinguvu kwenye Jangwa la Syria mwaka wa 1915 na 1916.

Wakiwa wana pelekeshwa kinguvu na wanajeshi, waliohamishwa walinyimwa chakula, maji na kufanyiwa unyang’anyi, kubakwa na kuuliwa. Katika Jangwa la Syria, walionusurika walitawanywa katika kambi za mateso.

Mnamo 1916, wimbi jingine la mauaji lilifanyika huku likiwaacha pekee wahamishwa wapatao 200,000 wakiwa hai hadi kufikia mwisho wa mwaka.

Takriban wanawake na watoto 100,000 hadi 200,000 wa Armenia waligeuzwa kwa lazima kuwa Waislamu na kujumuishwa katika kaya za Kiislamu.

Mauaji haya ya halaiki yalikomesha zaidi ya miaka elfu mbili ya historia ya Armenia katika mashariki Anatolia. Pamoja na mauaji ya halaiki na kufukuzwa kwa Wakristo na Waorthodoksi, iliwezesha kuundwa jaamhuri ya uturuki.

Propaganda hizo. Ingalikuwa kweli Vatican wangalikuwa washaandika
 
Acha upumbavu huwezi kuhalalisha uovu wa sasa kwa kisingizio cha nambo yaliyo pita zaidi ya miaka 110 iliyo pita.
Kama ndo hivyo basi wamagharibi wasingekuwa na haki ya kuongelea kitu kinacho itwa sijui haki za binadamu.
Hawa wamagharibi mnao wategemea waikemee ccm kuhusu democracy na haki za binadamu, miaka 90 iliyo pita walikuwa wanawaweka waafrica kwenye zoo za wanyama kama maonyesho ,na wameua mamilioni ya watu wakiwemo waafrica wenzio walio kuwa wana dai uhuru wa nchi zao.
Alafu punguza chuki dhidi ya waisilam ipo siku moyo wako utapasuka na ufe maana chuki yako dhidi ya uislam sio ya kawaida, na usishangae hao waisilam unao wachukia ndo wakaja kukuolea mabinti zako,au kuwa tegemeo kwenye maisha ya kizazi chako.
 
Back
Top Bottom