Kanuni za kivita na matumizi ya anga huwezi kutumia ubabe kabla hujatangaza vita na wanaokalia anga husika.Hii pekee inatosha kukuonyesha nani mbabe.
Kwa nini Turkey hajatumia nguvu?
MAARABU NADHANI NDIO WANATESEKA NA UWEPO WA WAYAHUDI NA IMANI YAO KWA MUNGU WAO WA KIYAHUDI YEHOVANi huyo huyo mmoja tu ambaye hana upungufu kama mnavyodhania nyinyi.
Yaani Yesu(Issa bin Maryam) apewe adhabu kama hizo na mayahudi halfu Allah amuwache mpaka mwisho.Alimpaisha mbinguni na mayahudi wakaachiwa kinyago wateseke nacho.
Acheni kumkosea heshima Yesu,mtume wetu miongoni mwa mitume mitukufu.
Kwa mujibu wa Qurr'an Hakufikwa na janga hilo la aibu.Mola wake aliwahi kumuokoa kabla washenzi wa kiyahudi hawajamdhuru.
TUSHAZOEA ARAB'S AND MUSLIMS PROPAGANDA AGAINST JEW,S.hao jews wako pengine sio hawa wanaokaa kwenye ardhi za Palestina.
Ona jinsi sera za vita zinavyobadilika kwa haraka baada ya Marekani kutishia kuipa misaada Israel.
Israel inaagiza bidhaa nyingi kutoka nje ikiwemp Uturuki.Kama watanyimwa bidhaa hizo basi wewe huwezi kuwaambia wazifuate wapi kwa bei nafuu.
Ameen jiraniYESU KRISTO NI UPENDO ANAWAPENDA WATU WA DINI ZOTE MPOKEE LEO View attachment 2958828
Wanaomba pooohNani alikwambia Jews wanatishika na vikwazo mfu kama hvyo !!!!
Wao wakianzisha jambo huwa hakuna mtu wa kuwaamulia mpk lengo litimie ...endelea kujifariji kuwa mtapata ahueni , mlilianzisha wenyewe Oct 7
Hao watu wameuliwa na nini kama sio hizo siraha?Kama za Israel ndio silaha bora mbona zimeshindwa kuwapiga Hamas wamebaki kuuwa watu bure.Wagonjwa,wanawake na watoto.
Turkey hana la kumfanya Israel.Kanuni za kivita na matumizi ya anga huwezi kutumia ubabe kabla hujatangaza vita na wanaokalia anga husika.
Hata siku Tanzania ikisema ndege za US marufuku kukatisha juu yake na ikawa kweli Tanzania imedhamiria basi hizo ndege zitakaa mbali na Tanzania.
Sasa kama Israel inaua watoto na wake wa wapiganaji wa hamas si wawatetee sasa ili wasiuawe, kwann wanajificha huko kwenye mashimo kama kweli wao vidume??Kama za Israel ndio silaha bora mbona zimeshindwa kuwapiga Hamas wamebaki kuuwa watu bure.Wagonjwa,wanawake na watoto.
Anasahau nu hao hao uturukj ndo wemetujengea sgra ile ya kutoka dar mpaka morogoro within uropean standardUturuki nayo iko mbali sana kiteknolojia za kivita.