NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Na ije hiyo zamu kwani wao waliiomba.Ha ha ha ha, nyie bado zamu yenu. ha ha ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ije hiyo zamu kwani wao waliiomba.Ha ha ha ha, nyie bado zamu yenu. ha ha ha ha
Ha ha ha haNa ije hiyo zamu kwani wao waliiomba.
Umebakia huo tu Mingine yoote imeanguka! ndivyo??!Mimi nadhani huu mskiti haujabomoka kwenye Tetemeko kwa sababu jengo lake halijaenda juu sana...wewe unafikiri kwanini Mskiti Pekee haujabomoka..?[emoji846][emoji120][emoji120]
View attachment 2517228
AiseeMajengo yaliyoanguka mengi sana yalijengwa chini sana ya viwango. Majengo mengi yaliyojengwa kwa viwango ikiwemo huo msikiti hayakuanguka.
Sio allah mkuu?nauliza kwa kunong'onaUmebakia huo tu Mingine yoote imeanguka! ndivyo??!
Sifa zoote ziende kwa Mjenzi![emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]
Hii ni uturuki pia?
TakbiiirMajengo yaliyoanguka mengi sana yalijengwa chini sana ya viwango. Majengo mengi yaliyojengwa kwa viwango ikiwemo huo msikiti hayakuanguka.
Tungekufa kama mende. Ndio maana Mungu ni pendo angalia tu tunavyokomaa na kipindipinduIngekuwa huku bongo kwa fundi Maiko sasa.
Mimi nadhani huu mskiti haujabomoka kwenye Tetemeko kwa sababu jengo lake halijaenda juu sana...wewe unafikiri kwanini Mskiti Pekee haujabomoka..?[emoji846][emoji120][emoji120]
View attachment 2517228
Mbona zamu yetu ilikuwa Haiti 2010 tulikufa sana karibia million. Hii haina cha zamu mkuu. Tusifanye mzaha kwasababu tu tumeshiba kande.Na ije hiyo zamu kwani wao waliiomba.
Na kweli huku ingekuwa hata waokoaji hamna, wote wangelala mbele. Labda wangemfuata depo kuruta Majaliwa aje kuokoa jahazi.Tungekufa kama mende. Ndio maana Mungu ni pendo angalia tu tunavyokomaa na kipindipindu
Ila bro tusifanye matani na masikhara kuhusu haya majanga. Yani hili tukio la Uturuki nimelua sana. Waturuki a Syria wanapitia wakati mgumu sana. Mungu awape wepes na faraja.Na kweli huku ingekuwa hata waokoaji hamna, labda wangemfuata depo kuruta Majaliwa aje kudokoa jahazi.
Na kweli, tunafanya tu utani ila hao ni binadamu wenzetu tunawaombea wepesi na RIP.Ila bro tusifanye matani na masikhara kuhusu haya majanga. Yani hili tukio la Uturuki nimelua sana. Waturuki a Syria wanapitia wakati mgumu sana. Mungu awape wepes na faraja.
Wanataka jipa ujiko tuHakuna majengo mengine ambayo hayajabomoka zaidi ya huo msikiti? Tuanzei hapo kwanza.
Kweli bro ikifika majanga kama haya runaondoa utofafauti wetu. Mimi nimechanga dollar 50 UNICEF kuwapiga tafu madogo Uturuki na Syria.Na kweli, tunafanya tu utani ila hao ni binadamu wenzetu tunawaombea wepesi na RIP.
Hakika mkuu, tunavimbiwa mpaka tunajaribu kutania visivyojaribika.Mbona zamu yetu ilikuwa Haiti 2010 tulikufa sana karibia million. Hii haina cha zamu mkuu. Tusifanye mzaha kwasababu tu tumeshiba kande.