Uturuki msikiti pekee haujaporomoka kwenye tetemeko

Uturuki msikiti pekee haujaporomoka kwenye tetemeko

Sio allah mkuu?nauliza kwa kunong'ona
Allah hana ubavu toka aombe dua mbaya kwa Mwenyezi Mungu Awaangamize Wakristo na Wayahudi Mungu Mwenyezi Akampotezea, Wakristo na Wayahudi bado wanadunda imemchanganya![emoji56][emoji56][emoji35]
[emoji116][emoji116]

وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
 
Back
Top Bottom