4. Ngoja tumsubiri mwenye mpango wake wa kuifuta HAMAS duniani.
Haitoshi Uturuki kusalia kusema hivyo, bado ana unafiki ndani yake, Palestinian wanaendelea kuuliwa kila kukicha alipaswa kuongeza nguvu kumsaidia ndugu yake Muislam kwa vyovyote vile, Uturuki ina uwezo mkubwa sana wa silaha na kila kitu, leo jirani yako anauliwa unachukia katika nafsi wakati una uwezo wa kupambana, ameonyesha udhafi Erdogan1. Rafiki wa kweli hujulikana wakati wa dhiki:
View attachment 2992076
2. Hii itakuwa habari mbaya mno kwa wasayuni wote kuanzia Tell Aviv, hadi Buza pande za kwa Mpalange huko.
View attachment 2992083
3. Mwizi ni mwizi tu huyo ni wa kusema naye siku zote na popote atakapoonekana!
View attachment 2992078
4. Ngoja tumsubiri mwenye mpango wake wa kuifuta HAMAS duniani.
kwa hiyo jirani anauliwa na jirani?Haitoshi Uturuki kusalia kusema hivyo, bado ana unafiki ndani yake, Palestinian wanaendelea kuuliwa kila kukicha alipaswa kuongeza nguvu kumsaidia ndugu yake Muislam kwa vyovyote vile, Uturuki ina uwezo mkubwa sana wa silaha na kila kitu, leo jirani yako anauliwa unachukia katika nafsi wakati una uwezo wa kupambana, ameonyesha udhafi Erdogan
Uturuki kama ina ubavu,ingepeleka sasa majeshi yake Gaza kupambana na IDF! Siyo maneno matupu.
Apeleke akutane na moto mzito wa myahudi.Uturuki kama ina ubavu,ingepeleka sasa majeshi yake Gaza kupambana na IDF! Siyo maneno matupu.
Myahudi Hana moto wowoteApeleke akutane na moto mzito wa myahudi.
Unajuaje kama ameshapeleka??Uturuki kama ina ubavu,ingepeleka sasa majeshi yake Gaza kupambana na IDF! Siyo maneno matupu.
Anachopeleka ni misaada ya fedha tu! Labda na silaha lakini hawezi kutia mguu kule.Unajuaje kama ameshapeleka??
Hamas peke yake Hawezi mikiki ya Yahudi
Apeleke akutane na moto mzito wa myahudi.
Uturkey sio nchi iliyozijgirwa kama gaza kwama hawewez kurusha drone hawewezi kuingiza chakula kule amna rafa Cross border hivyo vita Israeli hata viweza kamwe .uturuki ina technologies za ndege za kisasa walizotengeneza wenyewe .usiwape sifa wasiozokuwa nazoApeleke akutane na moto mzito wa myahudi
Haitoshi Uturuki kusalia kusema hivyo, bado ana unafiki ndani yake, Palestinian wanaendelea kuuliwa kila kukicha alipaswa kuongeza nguvu kumsaidia ndugu yake Muislam kwa vyovyote vile, Uturuki ina uwezo mkubwa sana wa silaha na kila kitu, leo jirani yako anauliwa unachukia katika nafsi wakati una uwezo wa kupambana, ameonyesha udhafi Erdogan
God Bless Israel
Unajuaje kama ameshapeleka??
Hamas peke yake Hawezi mikiki ya Yahudi
Apeleke akutane na moto mzito wa myahudi.