Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamwiga baba yake u.s.a ni sawa na kujipiga mwenyeweBREAKING: Israel puts 100% tariff on imports from Turkey until the end of Erdogan's term.
mbona hasogezi pua sasa,?! Anaishia kubweka tu kwa mbali kama jibwa kokoUturkey sio nchi iliyozijgirwa kama gaza kwama hawewez kurusha drone hawewezi kuingiza chakula kule amna rafa Cross border hivyo vita Israeli hata viweza kamwe .uturuki ina technologies za ndege za kisasa walizotengeneza wenyewe .usiwape sifa wasiozokuwa nazo
Kwa akili yako unadhan kila tofouti suluhu ni vita ..vita watu hawakurupuki .nyie ndo mlianza kusema ati anayetafutwa pale ni mashariki ya kati iran kiko wapi sasa mbona mliweka mkia nyumambona hasogezi pua sasa,?! Anaishia kubweka tu kwa mbali kama jibwa koko
Kusimama na watu walioanzisha mwenyewe uchokozi october 7 ni ujinga na ulimbukeni. Waturuki nilikuwa nawaheshimu sana lakini katika hili, sitafatilia tena tamthilia zao.1. Rafiki wa kweli hujulikana wakati wa dhiki:
View attachment 2992076
2. Hii itakuwa habari mbaya mno kwa wasayuni wote kuanzia Tell Aviv, hadi Buza pande za kwa Mpalange huko.
View attachment 2992083
3. Mwizi ni mwizi tu huyo ni wa kusema naye siku zote na popote atakapoonekana!
View attachment 2992078
4. Ngoja tumsubiri mwenye mpango wake wa kuifuta HAMAS duniani.
Uzuri Mungu ana agano nao hao tena la milele huu uchafu wa antiisrael unakaribia kufikia mwisho soon anakuja mwenye dunia yake na atatawala dunian nzima akiwa na makao makuu israel.God Bless Israel
Waulize Gaza kilichowakuta baada ya kuanza ugaidi oct7Myahudi Hana moto wowote
Silaha mpaka zipitishwe na senate ya marekani, Bundestag ujerumani na uingerezaWaulize Gaza kilichowakuta baada ya kuanza ugaidi oct7
Tulieni hivyo hivyo mshughulikiwe… si mlianza wenyewe uchokoziSilaha mpaka zipitishwe na senate ya marekani, Bundestag ujerumani na uingereza
Kusimama na watu walioanzisha mwenyewe uchokozi october 7 ni ujinga na ulimbukeni. Waturuki nilikuwa nawaheshimu sana lakini katika hili, sitafatilia tena tamthilia zao.
BREAKING: Israel puts 100% tariff on imports from Turkey until the end of Erdogan's term.
TakbirrrKusimama na watu walioanzisha mwenyewe uchokozi october 7 ni ujinga na ulimbukeni. Waturuki nilikuwa nawaheshimu sana lakini katika hili, sitafatilia tena tamthilia zao.
Takbirrr
Siyo vyepesi kama unavyodhani, watu mnashangaza sana ikumbukwe Israel ni nuclear state, hivyo hakuna taifa la kuingia kichwa kichwa kuushambulia Israel, vita haiwezi kuwa suluhu pale middle East.Haitoshi Uturuki kusalia kusema hivyo, bado ana unafiki ndani yake, Palestinian wanaendelea kuuliwa kila kukicha alipaswa kuongeza nguvu kumsaidia ndugu yake Muislam kwa vyovyote vile, Uturuki ina uwezo mkubwa sana wa silaha na kila kitu, leo jirani yako anauliwa unachukia katika nafsi wakati una uwezo wa kupambana, ameonyesha udhafi Erdogan