Uturuki: Tutaendelea kusimama na HAMAS katika vita vyao vya Ukombozi!

Uturuki: Tutaendelea kusimama na HAMAS katika vita vyao vya Ukombozi!

Uturkey sio nchi iliyozijgirwa kama gaza kwama hawewez kurusha drone hawewezi kuingiza chakula kule amna rafa Cross border hivyo vita Israeli hata viweza kamwe .uturuki ina technologies za ndege za kisasa walizotengeneza wenyewe .usiwape sifa wasiozokuwa nazo
mbona hasogezi pua sasa,?! Anaishia kubweka tu kwa mbali kama jibwa koko
 
1. Rafiki wa kweli hujulikana wakati wa dhiki:

View attachment 2992076

2. Hii itakuwa habari mbaya mno kwa wasayuni wote kuanzia Tell Aviv, hadi Buza pande za kwa Mpalange huko.

View attachment 2992083

3. Mwizi ni mwizi tu huyo ni wa kusema naye siku zote na popote atakapoonekana!

View attachment 2992078

4. Ngoja tumsubiri mwenye mpango wake wa kuifuta HAMAS duniani.
Kusimama na watu walioanzisha mwenyewe uchokozi october 7 ni ujinga na ulimbukeni. Waturuki nilikuwa nawaheshimu sana lakini katika hili, sitafatilia tena tamthilia zao.
 
Uturuki kama kuna kipindi mnakumbuka ile meli yake iliyobeba msaada wa wapalestina ilishambiuliwa na jeshi la Israel na kuuwa baadhi ya watu waliokua ndani yake na uturuki ililalamika sana na kukata mawasiliano lakini kama ilikua na ubavu mbona ilishindwa kuivamia Israel.Hii
mission iliyochezwa na Hamas imefeli ni plani mbovu kuwai tokea bora wangewateka wale wa Israel pasipo kuua mtu Lakini kosa kubwa ni lile la kuua hovyo raia na askari hapo unategemea Israel ingekubali eti wakae mezani.
Nyerere pamoja na upole wake alishindwa kukaa meza moja na Idd Amin akaamua kuingiza majeshi ambayo yalisababisha mauaji.
 
Kusimama na watu walioanzisha mwenyewe uchokozi october 7 ni ujinga na ulimbukeni. Waturuki nilikuwa nawaheshimu sana lakini katika hili, sitafatilia tena tamthilia zao.

Hujui vita hii imeanza 1948?
 
BREAKING: Israel puts 100% tariff on imports from Turkey until the end of Erdogan's term.

Kumbe aliyeanza kupigwa munda kisha kulia lia alikuwa nani?

IMG_20240518_163108.jpg

IMG_20240518_163146.jpg

IMG_20240518_163223.jpg
 
kuisingizia israel makosa yasiyo yake ni kukosea sana.. akumbuke captain ni eli copta
 
Haitoshi Uturuki kusalia kusema hivyo, bado ana unafiki ndani yake, Palestinian wanaendelea kuuliwa kila kukicha alipaswa kuongeza nguvu kumsaidia ndugu yake Muislam kwa vyovyote vile, Uturuki ina uwezo mkubwa sana wa silaha na kila kitu, leo jirani yako anauliwa unachukia katika nafsi wakati una uwezo wa kupambana, ameonyesha udhafi Erdogan
Siyo vyepesi kama unavyodhani, watu mnashangaza sana ikumbukwe Israel ni nuclear state, hivyo hakuna taifa la kuingia kichwa kichwa kuushambulia Israel, vita haiwezi kuwa suluhu pale middle East.
 
Back
Top Bottom