makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Uzuri wa Erdoğan anajua na anatambua kuwa anaongea uongo Taqiyya na unafiki.. ila Moyoni anaipenda Israel.. ukiwa muumini halal wa Uislam huwezi sema kuwa Jerusalem ni for Arabs.. total unampinga Allah so unakuwa kafir..
Uzuri wa Erdoğan anajua na anatambua kuwa anaongea uongo Taqiyya na unafiki.. ila Moyoni anaipenda Israel.. ukiwa muumini halal wa Uislam huwezi sema kuwa Jerusalem ni for Arabs.. total unampinga Allah so unakuwa kafir..
Juzi kati niliona mdada wa kizungu analalamika meli yao ya misaada kwa watu wa gaza imekwama uturuki, waturuki wameizuia kwa maelekezo toka kwa USA, sasa kama mzee erdogan anachoongea kinatoka moyoni kwanini alizuia ile meli?
Mturuki haaminiki.
Hayo ndo wanamezeshana ,wanashindwa kuwaambia wapalestina wakae vizuri na wayahudi kama jamii ya kiarabu - Druze anavyoishi na wayahudi kwa amani.
Mnatia linya saan wabongo na ujuaji mwingi sana unaazaje kupende hilo taifa la kihuni ..au ndo ulokole umekujaa hapa
Huwa huishiwi kuropoka.Uzuri wa Erdoğan anajua na anatambua kuwa anaongea uongo Taqiyya na unafiki.. ila Moyoni anaipenda Israel.. ukiwa muumini halal wa Uislam huwezi sema kuwa Jerusalem ni for Arabs.. total unampinga Allah so unakuwa kafir..
Mkuu,umesoma vizuri maelezo yangu!?1. Kwamba ni wasumbufu si kweli kuwa hawana jema.
2. Kama hapo #1 ungali na taabu nao, labda kama una maana kuwa semi hizi:
"Barabara ndefu haikosi Kona au mwanamke mrembo hakosi kasoro."
Zitakuwa hazina maana yoyote kwako?
3. Tukubali waturuki ni watata, Vipi Israel? Huna lolote la kusema kuwahusu?
4. Bernie Sanders anayo maneno magumu sana kuwahusu Israel:
View attachment 2975352
View attachment 2975353
WaPalestina hawana shida na Wayahudi.Hayo ndo wanamezeshana ,wanashindwa kuwaambia wapalestina wakae vizuri na wayahudi kama jamii ya kiarabu - Druze anavyoishi na wayahudi kwa amani.
Unaweza kupinga matendo mabaya ya kivita ya Israel bila kuisapoti Hamas.MK254, PakiJinja, Moisemusajiografii, Mzee Kigogo, denoo JG, Yoda na wale wafia dini wenzao, mwendo wao uleule:
"Kimya kimya, wakijisemea: hiiiiiii...Ii!"
Wote nyinyi si Waislam tu!! Tunawajua mlinyo na roho mbaya inachagizwa na kitabu chenu1. Hawa ndiyo wale vigogo wachache wa aina ya South Africa huko:
View attachment 2975029
2. Kwamba Natenyahu ni kama yale mapanya road yale ya pande za kwetu tu?
View attachment 2975030
3. Ana sifa gani, wapi, kiumbe huyu kwenye ulimwengu iliyostaarabika?
View attachment 2975031
4. Kuwa tunatembea?
View attachment 2975028
5. Tujikumbushe kinachotakiwa:
View attachment 2975027
6. Viva resistance, viva Palestine, viva HAMAS.
Aluta Continua!
Wote nyinyi si Waislam tu!! Tunawajua mlinyo na roho mbaya inachagizwa na kitabu chenu
View: https://x.com/BFirstParty/status/1784221174785773788
Wafia dini ndio jamii ipi ama kina naniiMK254, PakiJinja, Moisemusajiografii, Mzee Kigogo, denoo JG, Yoda na wale wafia dini wenzao, mwendo wao uleule:
"Kimya kimya, wakijisemea: hiiiiiii...Ii!"
Muislam mwingine huyu hapa chini1. Miye si mwislam, mfia dini wala chawa kama wewe ndugu!
2. Ufia dini, uchawa na umbumbmbu ujuaji ni laana!
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
3. Hapo #2, msipobadilika, mjini kwa mnazoita kuwa ni kazi zenu mtaolewa bila kujali jinsia!
4. Bennie Sanders na wenziwe wako hupu:
a) Zaidi ya mwezi wa 6+ leo Israel angali anapigana na nani Gaza?
b)Wamarekani wanaposimama imara dhidi ya Israel na serikali yao
5. Hao ni mfano tu, wao kama sisi, wengi tu; siyo waislamu, ndugu mfia dini, chawa, "mbumbumbu mjuaji," uliyelaaniwa we!
Wafia dini ndio jamii ipi ama kina nanii