Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndugu ikiwa mkiwa kwenye tendo inasimama sasa hofu yako nini? Mi nikadhani haicmami kabisa. Au wataka upigie mswaki hiyo asubuhi?
hahahah apigie mswaki dushe dah!!!!
naishi Dar @ Msumeno
Jamani uume wangu imekuwa ni kawaida hausimami kila asubuhi, na kwa upeo wangu mdogo, mwanaume anatakiwa asimamishe kila asubuhi..
Msaada tafadhali!
Jamaa anataka kujua kama kuna mtu aliwahi kuwa na shida hiyo na alifikia vipi suluhisho!! Wanaume wote kesho tumpatie jibu kama tuliinuia mkono kama polisi wa usalama barabarani mida ya asubuhi. Na wanawake ukiwemo MankaM msisahau kuwachunguza na waume zenu wa ndoa au ambaye sio wa ndoa!! Kama hapana basi tumpe feedback, halafu tuelekee hospitali!!!kama hauumwi ngiri basi nenda hosptal kacheki...
Ukinitaka bonyeza hapa.Mawasilianoaisee mkuu haya mawasiliano yako uliyoweka unapatkana kwa njia gani rahisi?
Uliwahi kupiga Punyeto?
Kunywa maji mengi kabla ya kulala.
Wakati wa chakula cha usku(nasemea dinner) na kuendelea.
Utaamka imesmama
Jamani uume wangu imekuwa ni kawaida hausimami kila asubuhi, na kwa upeo wangu mdogo, mwanaume anatakiwa asimamishe kila asubuhi..
Msaada tafadhali!
Duh! Wewe kama mimi, nilijua nikawaida kumbe ni tatizo. Wewe ulijuaje kuwa hilo ni tatizo? Asante kwa kunifumbua macho, ngoja na mimi nianze kusaka dawa. Ukiipata tafadhali unijulishe na mimi mgonjwa mwenzako. Nami nikifanikiwa nitakujulisha. Ama kweli duniani magonjwa ni mengi!
hahahah apigie mswaki dushe dah!!!!