Uume hausimami asubuhi

Uume hausimami asubuhi

na ww jaribu kufatilia ili ujue kama hili ni tatizo au la,...then tupeane taarifa, naomba wanaume humu kila mmoja ajichunguze alfajiri je inasimama kila alfajiri,kuna haja ya kujua hili

Huwa unaicheki saa ngapi? Jaribu kuweka alarm kwenye saa kumi na moja mpaka saa kumi na moja na nusu alfajiri uangalie, then utupe mrejesho.
 
Acha kujishtukia wewe kitu kinasimama ukiwa usingizini... Sema ukiamka unakuta kimelala...
 
Si lazima uume usimame asubuhi. Uume husimama katika hali ambapo uume hujaa damu inayoufanya uongezeke ukubwa na urefu,mfano mtu wa kiume akiwa karibu na mtu wa kike kihisia au ana kwa ana.
 
Back
Top Bottom