Tumedharau sana asili zetu.Wale mashangazi ambao hawawezi kuweka salio kwenye simu ila mimba ya wiki tatu wanaijua "problem solvers "😁😁
Watu tunadharau sana ila ulichosema ni kweli, wazee wa zamani wana mbinu nyingi sana na ubaya wanazikwa nazo
Amina 🙏🏽Tumedharau sana asili zetu.
Mungu atusamehe
Ukuje nikutibu na kula laha basi[emoji7]Its wkend [emoji23][emoji23][emoji23]
📨😂
Pole aiseee fanya mazoez jogging na kula vyakula asilia,kabla hujalala tafuna punje za vitunguu saumu 4 (ponda ponda kama huwez tafuna) meza na asali original vijiki viwili kila siku lazima upate nguvuWadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Mimi sio mchoyo wa tiba.. Nina dawa asili zinazotibu kwa mafanikio makubwa[emoji396][emoji23]
Huyu keshaathirika na kashajifunza kwasasa anahitaji tibaKama kumtazama mwanamke Kwa kumtamani ni sawa na kuzini vipi kumtazama porn mpaka mwisho?..Mkuu sex ni mindset tu....tuanzie hapo
Khaaa Mshana 🤣🤣🤣🤣Mimi sio mchoyo wa tiba.. Nina dawa asili zinazotibu kwa mafanikio makubwa
Kitambi cha pombe na michemsho ya bar pamoja na nyama choma za ofa
Bawasir ya ndani na nje
UTI sugu
Kifua na kikohozi kikavu
Matatizo ya uume hasa kulegea kama mlenda wa bamia la Tanga uliopikwa bila karangaView attachment 2773630
Wewe ya kitambi itakufaa halafu nina nyingine ya kutengeneza shepu na kupunguza mtindi unaoanguka usimamie ukucha[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mawasiliano please maana pm kumefungwaMimi sio mchoyo wa tiba.. Nina dawa asili zinazotibu kwa mafanikio makubwa
Kitambi cha pombe na michemsho ya bar pamoja na nyama choma za ofa
Bawasir ya ndani na nje
UTI sugu
Kifua na kikohozi kikavu
Matatizo ya uume hasa kulegea kama mlenda wa bamia la Tanga uliopikwa bila karangaView attachment 2773630
Wewe ya kitambi itakufaa halafu nina nyingine ya kutengeneza shepu na kupunguza mtindi unaoanguka usimamie ukucha[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu raha sio laha
Nataka huo wa ukucha😂Mimi sio mchoyo wa tiba.. Nina dawa asili zinazotibu kwa mafanikio makubwa
Kitambi cha pombe na michemsho ya bar pamoja na nyama choma za ofa
Bawasir ya ndani na nje
UTI sugu
Kifua na kikohozi kikavu
Matatizo ya uume hasa kulegea kama mlenda wa bamia la Tanga uliopikwa bila karangaView attachment 2773630
Wewe ya kitambi itakufaa halafu nina nyingine ya kutengeneza shepu na kupunguza mtindi unaoanguka usimamie ukucha[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣
Aaahahahahahahahh😅😅😅Hiyo inaitwa nyeto bila kushika mkuu
We jamaa unanivunja mbavu aisee😅Amini mkuu nilikuwa nazipakua nacheki tu mpka mshindo