Uume kusimama legelege

Kumbe we jamaa ni mganga kweli?
Sijawahi ona mganga Mkristo.
 


Kwanini unaangalia porn kama unajua una hili tatizo. Tatizo ni porn hapo kwa kijana wa miaka 32


Kwa wale ambao ni tatizo la mishipa ya damu tumia hii itasaidia kufungua mishipa na utakuwa powa

 
Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.

Twiga wana shingo ndefu kwa sababu hapo zamani za kale iliwalazimu kurefusha shingo kula majani ya matawi ya juu...

Hivyo tatizo ni kupewa kiungo na kutokitumia, ona sasa kimekuwa kilemavu...
 
Polee mzee....
Usipanic wala Usijuione kama ushakosa ubingwa.
Fanya yafuatayo....
  • Fanya mazoezi mara kwa mara, kama una mchezo na mwenza wako fanya push-ups and sit-ups 30 mins before mchezo, hii itasaidia kuongeza blood circulation. Mzigo wako unakuwa legelege kwasababu misuli yake haijai damu vizur. Google kegel exercises zinasaidia sana.
  • Kula vizur na kunywa maji mengi ya kutosha kabla ya mchezo, kula vyakula vya maana sio chips mzee utazingua. Hakikisha una kunywa maji mengi pia usisahau.
  • Alaf punguza stress broo, stress nazo zinaweza kuchangia mtu kuwa na weak penile erections. Chingine punguza midadi/hisia, kuna mtu akipata demu wa kumtunuku anapagawa yaan haamini, hii hali nayo mbaya inafanya mzigo ulegee baada ya bao moja tuu. Hakikisha akili yako imetulia huna stress wala midadi ya ajabu
Una matatizo yeyote ya kiafya kama kisukari au shida ya moyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…