Kumbe we jamaa ni mganga kweli?Mimi sio mchoyo wa tiba.. Nina dawa asili zinazotibu kwa mafanikio makubwa
Kitambi cha pombe na michemsho ya bar pamoja na nyama choma za ofa
Bawasir ya ndani na nje
UTI sugu
Kifua na kikohozi kikavu
Matatizo ya uume hasa kulegea kama mlenda wa bamia la Tanga uliopikwa bila karangaView attachment 2773630
Wewe ya kitambi itakufaa halafu nina nyingine ya kutengeneza shepu na kupunguza mtindi unaoanguka usimamie ukucha[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua! Mimi nimeorodhesha tuu kwa wahitaji wengineKhaaa Mshana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sina mtindi wa kupunguza
Em hiyo ya kitambi
Sawa mkuu natambua hilo[emoji1545] ila nimeamua kutumia laha kwa maana yangu [emoji3]Mkuu raha sio laha
Karibu kuko wazi sasaMkuu mawasiliano please maana pm kumefungwa
Ukristo ni imani uganga ni tiba [emoji3]Kumbe we jamaa ni mganga kweli?
Sijawahi ona mganga Mkristo.
Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Polee mzee....Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Chemsha tangawizi Unywe Kila sikuTiba nini mkuu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23]Umeangalia sana porn hujawahi jiunga chaputa, Watu si wajinga bana
Hapo ndio tatizo lilipo anziaAmini mkuu nilikuwa nazipakua nacheki tu mpka mshindo