Kumbe we jamaa ni mganga kweli?Mimi sio mchoyo wa tiba.. Nina dawa asili zinazotibu kwa mafanikio makubwa
Kitambi cha pombe na michemsho ya bar pamoja na nyama choma za ofa
Bawasir ya ndani na nje
UTI sugu
Kifua na kikohozi kikavu
Matatizo ya uume hasa kulegea kama mlenda wa bamia la Tanga uliopikwa bila karangaView attachment 2773630
Wewe ya kitambi itakufaa halafu nina nyingine ya kutengeneza shepu na kupunguza mtindi unaoanguka usimamie ukucha[emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi ona mganga Mkristo.