Uume kusimama legelege

Huto pona pole sana ndugu...yangu
 
bado hujasema🤣🤣🤣😅
 
Amini mkuu nilikuwa nazipakua nacheki tu mpka mshindo
Wacha urongo we MPUMBAVU!...

Punyeto ndo imekufanya uwe hivyo. Ila hujachelewa, muweke mwanamke wako wazi huenda akashirikiana nawe kutafuta tiba maana wao wenyewe wanaelewa ila baadhi huwaona wanaume wanaokata punyeri ni mazwazwa!
 
Njoo PM na Tsh 1m fasta nikupatie Kaluyembe upone. Usipokuwa makini italala mazima
We ni TAPELI! 1M si pesa ya Visa na ticket ya kwenda Korea hiyo?!

Hata akienda kuonana na mtaalam Aga-khan, Saifee, Hi-tech, Sanitaz au Regency hospital hawezi kuchajiwa pesa ndefu namna hiyo. Jiheshimu kijana!

Bora awasiliane na Mshana Jr naona wewe unataka kumzidishia majanga huyo kijana
 
Umemjibu kitaalam na kwa busara kubwa mzee mwenzangu...

Ubarikiwe!
 
Hahaaa
Dah!! Umekiminya minya na mikono yako migumu. Sasa kimepotea unaanza kukitafuta. And yet unakazania hukuwa unakiminya minya.. 😂😂😂
Yaaah ilibid story yake amalizie na nlipiga nyeto sana….ili tusolve la nyeto alafu tusolve la kidudu kuwa kidogo then tumalize na kusimama vizuri, ye anataka tusolve moja tu anafeli….
 
Hapana Sina hayo matatizo,tatizo niliokuwa nalo tumbo kujaa gési tu miaka mingi
 
Wadau wengi mliochangia mmedhani sisimamishi kabisa,nasimamisha ila nikifika dk 2 askari anakuwa legelege hana nguvu na kurudi anachelewa
 
Aloo mwamby asage pili pili na tangawizi kwa pamoja aweke. Maji kidogo apake kwenye penis muda wa kulala majibu ni ndani ya 2 seconds.
 
Niliwahi kukaa mwaka bila sex siku niliyokuja kupata sex mashine haikuweza kabisa mpaka nikaogopa itakuwaje
Lakini nilivyotoka pale mazoezi, mbegu vitunguu swaumu, tangawizi nilifanya matumizi makubwa ya hivyo vitu kama wiki hivi nikaita manzi nikapiga kama nauwa

Lakini hadi leo nimenote nikikaa mda mrefu kama mwezi hivi bila sex kuna namna performance inashuka mwili unakuwa mzito yale ni mazoezi pia mazuri tu na nadhani hiyo ni kawaida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…