Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Angalia hasa vyakula unavyokula. Pia kuna aina ya matunda ambayo muhimu sana plus mazoezi ya kegelNdiyo hâta sasa sema nikishapiga bao la kwanza askari akirudi la pili anakuwa legelege hasimami msumari
Kama hataki basi. Italala mazima. Tena 1m mbona ndogo sana. Huwa nawacharge 10m au zaidi. Nataka 1m kwasababu ni mwanaJF mwenzangu.We ni TAPELI! 1M si pesa ya Visa na ticket ya kwenda Korea hiyo?!
Hata akienda kuonana na mtaalam Aga-khan, Saifee, Hi-tech, Sanitaz au Regency hospital hawezi kuchajiwa pesa ndefu namna hiyo. Jiheshimu kijana!
Bora awasiliane na Mshana Jr naona wewe unataka kumzidishia majanga huyo kijana
Wewe na hao unaowatapeli wote ni VICHAA!Kama hataki basi. Italala mazima. Tena 1m mbona ndogo sana. Huwa nawacharge 10m au zaidi. Nataka 1m kwasababu ni mwanaJF mwenzangu.
1m unaona kubwa mzee. Watu wanahonga gari ili ale mbunyenye. Iweje sasa haisimami.
😅😅😅 Wewe jamaa asee??!!!!Kwahyo mwanetu hujawahi kumbato?
Jina lako tu burudani toshaWadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Umemuonea huruma mkuu. Siyo kichaa bali ni takataka kabisa.Wewe na hao unaowatapeli wote ni VICHAA!
Nahis anaongopa😅😅😅 Wewe jamaa asee??!!!!
Hahaha kwann mkuu unasema hivyoWe kweli mtu wa nyikani 😂😂😂😂🙌🏾
Kula protin Sana, fanya mazoezi ya mwli hasa kegel exercisesWadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Shukrani Mkuu, niliona badala watu wamshauri cha kumsaidia walibaki kumsema kuhusu kutokiri kuhusu yeye kupiga punyeto.Umemjibu kitaalam na kwa busara kubwa mzee mwenzangu...
Ubarikiwe!
Ona, mwili una akili yakeWadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.
Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.
Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
[emoji28][emoji28][emoji28]Eti anasema alikuwa anakiparaza kichwa kwa juu juu tu hadi anakojoa bila ya kupiga punyeto[emoji23][emoji23][emoji23] muoneni huyu!!
Sa unatuonaje kijana
😂😂😂 anatuonaje kwani?[emoji28][emoji28][emoji28]Eti anasema alikuwa anakiparaza kichwa kwa juu juu tu hadi anakojoa bila ya kupiga punyeto
[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu, umetelekeza kiringe ukaamua kuhamia kwa wale wa "Tuma kwenye namba hii?"
Dah ungejua hizo sio zangu kabisa...[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu, umetelekeza kiringe ukaamua kuhamia kwa wale wa "Tuma kwenye namba hii?"
Naona kijana anaelekea kula za uso
Huyo dronedrake Katengwa 😂😂😂😂😂Shukrani Mkuu, niliona badala watu wamshauri cha kumsaidia walibaki kumsema kuhusu kutokiri kuhusu yeye kupiga punyeto.
Wanadhani ni rahisi Mwanaume kukiri makosa yake tena la kupiga Punyeto.
Wanaoweza kusema hayo ya kupiga Punyeto ni akina dronedrake viongozi waandamizi wa Chaputa 😅