Uume kusimama legelege

Uume kusimama legelege

We ni TAPELI! 1M si pesa ya Visa na ticket ya kwenda Korea hiyo?!

Hata akienda kuonana na mtaalam Aga-khan, Saifee, Hi-tech, Sanitaz au Regency hospital hawezi kuchajiwa pesa ndefu namna hiyo. Jiheshimu kijana!

Bora awasiliane na Mshana Jr naona wewe unataka kumzidishia majanga huyo kijana
Kama hataki basi. Italala mazima. Tena 1m mbona ndogo sana. Huwa nawacharge 10m au zaidi. Nataka 1m kwasababu ni mwanaJF mwenzangu.

1m unaona kubwa mzee. Watu wanahonga gari ili ale mbunyenye. Iweje sasa haisimami.
 
Kama hataki basi. Italala mazima. Tena 1m mbona ndogo sana. Huwa nawacharge 10m au zaidi. Nataka 1m kwasababu ni mwanaJF mwenzangu.

1m unaona kubwa mzee. Watu wanahonga gari ili ale mbunyenye. Iweje sasa haisimami.
Wewe na hao unaowatapeli wote ni VICHAA!
 
Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.

Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.

Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Jina lako tu burudani tosha
 
Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.

Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.

Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Kula protin Sana, fanya mazoezi ya mwli hasa kegel exercises
 
Umemjibu kitaalam na kwa busara kubwa mzee mwenzangu...

Ubarikiwe!
Shukrani Mkuu, niliona badala watu wamshauri cha kumsaidia walibaki kumsema kuhusu kutokiri kuhusu yeye kupiga punyeto.

Wanadhani ni rahisi Mwanaume kukiri makosa yake tena la kupiga Punyeto.

Wanaoweza kusema hayo ya kupiga Punyeto ni akina dronedrake viongozi waandamizi wa Chaputa 😅
 
Wadau me kijana miaka 32 maana toka nibalehe sijawahi kushiriki mahusiano ila umri huu nimeamua kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ili nioe.

Tatizo linalonisumbua uume kusimama legelege hausimami vizuri mpka mwanamke analalamika.

Sijawahi kufanya nyeto,sema nimeangalia sana porn niliacha miaka 3 imepita je tiba yake nini na vipimo gani nikacheki hospital
Ona, mwili una akili yake

Mwili unafundishwa na unafundishika.

Mwili wako (au mboo yako to be exact) uliufundisha kwamba kutoa manii yaani kufika mshindo sio lazima usimame imara. Ushahidi ni wewe kufika mshindo bila kujishika wala nn ulivyokuwa ukicheki porn.

Hilo lilitosheleza mahitaji ya wakati ule, lakini sasa mahitaji ni uume usimame imara ili uduu.

Basi jifundishe upya, jifundishe (ufundishe uume) kuwa ili umwage ni lazma upitie na upenyeze mazingira magumu.

Tafuta punyeto ya kimkakati itakayofanikisha lengo hilo.

Humu ndani wengi wanaisema saana punyeto kama janga.... lakini linaweza kuwa dawa FUATILIA
 
Shukrani Mkuu, niliona badala watu wamshauri cha kumsaidia walibaki kumsema kuhusu kutokiri kuhusu yeye kupiga punyeto.

Wanadhani ni rahisi Mwanaume kukiri makosa yake tena la kupiga Punyeto.

Wanaoweza kusema hayo ya kupiga Punyeto ni akina dronedrake viongozi waandamizi wa Chaputa 😅
Huyo dronedrake Katengwa 😂😂😂😂😂

Maisha ya huyo mwamba ni vituko tu
 
Back
Top Bottom