Uume umesimama toka juzi mpaka hivi sasa baada ya kula dawa ya mtaalamu

nyie ndio mnaoomba mvua ardhi inapokuwa kame kisha mvua ikija nyingi mnalalamika!
 
Kinachosababisha nguvu za kiume kupungua ni mzunguko mbovu wa damu kwenye mishipa ya dushe, ambako husababishwa na maradhi ya moyo, mishipa ya damu kutanuka kupata kiasi na tabia mbaya ya kujichua. Hivyo dawa yoyote utakayosikia inaongeza nguvu sii kweli inaongeza , inakwenda kulazimisha moyo kupeleka damu kwa wingi kwenye dushe kinyume na matakwa ya mwili wenyewe, hali hii inaweza kusababisha moyo kusimama gafla na hivyo kupoteza uhai. Ndio maana ukisikia mtu amepoteza maisha akifanya mapenzi ujue katumia madawa hayo. Kwa hali uliyonayo sii nzuri, na moyo wako na mishipa ya damu inafanya kazi kinyume na utaratibu wake, mshuhkuru Mungu mpaka sasa hivi unapumua nenda hospitali watakusaidia kukurudisha katika hali ya kawaida.
 
Ulie panga kumkomoa ukamnywea dawa nae babu yake kampa dawa mwelewe ulie mkwichikwichi akup dawa
 
mkuu unanitisha
ndo maana nkakuambia kuwa makini ktk kutafuta tiba ya kupoza iyo kitu...madawa hayo watu huyapenda lakini unatakiwa kutumia kulingana na uwezo wa mshipa wako..

Umeambiwa tumia dawa kipimo cha kikombe kidogo cha kahawa ss wabongo tunakunywa pipa zima! matokeo yake ndo hayo.
 
mmmmmh!!!! Mkuu mbona hatari
 
kama nauona vile ulivyosimama tayari kuimba wimbo wa taifa hahaaaa
 
ukilala ndio kwisha hbr hauamki tena..... muache tabia za kujibust....japo hili ni tangazo, utapata pm za kutosha
 
Tafuta mngese umgegede ukiona vima utachukia hapo itanywea yenyewe bila ubishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…