Uume unaniwasha ndani kwa ndani, nifanye nini?

Uume unaniwasha ndani kwa ndani, nifanye nini?

Hiyo

Katumia lugha ya picha ktk kichwa cha habari yake kwanini kaweka mkazo wa muwasho katika mboo kama ilikuwa mwili mzima mbona hajaweka mkazo katika goti au pua huyu ana gono tu
Na magono yapo mengi kuna Gono la

Neisseria Gonorrhoea hapa utapata Gono la kisonono hapa usahaa unakuhusu

Kuna Gono la treponema Pallidum hapa utapata kaswende
Kuna Gono la haemophilus ducreyi hapa utapata pangusa

Kiugupi magono yapo mengi inategemea unaekutana nae amekupa gono gani vijana oeni la sio haya magono yatawatafuna sana madada wa Leo wapo kimsalahi mtu mmoja anawapangq folen mchana yupo na Huyu jioni yupo na yule kesho asubuh yupo kwako
Aisee hili nalo neno masta, daah tunashukuru kujua hilooo
 
Hiyo

Katumia lugha ya picha ktk kichwa cha habari yake kwanini kaweka mkazo wa muwasho katika mboo kama ilikuwa mwili mzima mbona hajaweka mkazo katika goti au pua huyu ana gono tu
Na magono yapo mengi kuna Gono la

Neisseria Gonorrhoea hapa utapata Gono la kisonono hapa usahaa unakuhusu

Kuna Gono la treponema Pallidum hapa utapata kaswende
Kuna Gono la haemophilus ducreyi hapa utapata pangusa

Kiugupi magono yapo mengi inategemea unaekutana nae amekupa gono gani vijana oeni la sio haya magono yatawatafuna sana madada wa Leo wapo kimsalahi mtu mmoja anawapangq folen mchana yupo na Huyu jioni yupo na yule kesho asubuh yupo kwako
Weka suluhisho
Screenshot_20240816-162729.jpg
 
Mambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..

Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.

Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
😀😂😀😂😀😂😀😂 Syphilis hioo ushanasa. Aisee isije ikawa kawa Empox
 
Ukiomba ushauri humu JF jiandaa kisaikolojia. Unatishia na kushambuliwa kweli.
 
Mambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..

Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.

Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
Nlipatwa na hiyo hali mkuu, katakata vitunguu swaum 5punje then meza na maji au maxiwa kila siku unapolala kwa mda wa siku7 hautojuta then tuletee mrejesho. Endelea kumeza 3 kila siku maana huyo dem unaekula huezimwacha
 
Gono ilo wadada wengi sijui kwanini wana gono Mimi niliwahi tembea na dada siku 2 zinazofata nikapata dalili kama zako hawa madada wa miaka hii sijui kwanini asilimia kubwa wana gono
Gen Z ni shida vinagongwa kila mtaa na hizi dimu siku hizi ndo zimeharibu kbs
 
Mambo vipi humu ndani aisee sijui ugonjwa gani huu umenipata yaani ikifika mida ya kulala kuanzia saa 3 usiku ngozi ya mwili mzima Inawasha balaa Hadi kupelekea kujikuna Kuna ovyo usiku kucha nafuu ni pale ninaposinzia tu..

Ila pia limeibuka Hadi uume nao umekuwa ukiwasha kwa ndani kwa ndani yaani nayo najikuta na ifikicha tu ili kupunguza muwasho msije sema Nina magonjwa yenu ya wazee wa ngono zembe.

Mwenye solution na hii Hali please msaada dawa gani nitumie ili kuondokana na hii Hali
sasa unaomba ushauri na unasema tusiseme una magonjwa ya zinaa

ahiyo imooo
 
Miezi kama miwili imepita nimewashwa sana miguu, huwa inatokea muda mwingine ni allergy tu
 
Hiyo

Katumia lugha ya picha ktk kichwa cha habari yake kwanini kaweka mkazo wa muwasho katika mboo kama ilikuwa mwili mzima mbona hajaweka mkazo katika goti au pua huyu ana gono tu
Na magono yapo mengi kuna Gono la

Neisseria Gonorrhoea hapa utapata Gono la kisonono hapa usahaa unakuhusu

Kuna Gono la treponema Pallidum hapa utapata kaswende
Kuna Gono la haemophilus ducreyi hapa utapata pangusa

Kiugupi magono yapo mengi inategemea unaekutana nae amekupa gono gani vijana oeni la sio haya magono yatawatafuna sana madada wa Leo wapo kimsalahi mtu mmoja anawapangq folen mchana yupo na Huyu jioni yupo na yule kesho asubuh yupo kwako
Noted
 
Wsla sio gino msimtishe ni STIs
NImefanya vipimo Kila kitu safi ila dokta kanipa tu vidonge vya minyoo na fangasi ndo anavyohisi japo minyoo Sina,amenipa ivyo vidonge vya fangasi nitumie ndani ya siku 14 Kila nione kama Kuna mabadiliko yoyote .
 
Ukiomba ushauri humu JF jiandaa kisaikolojia. Unatishia na kushambuliwa kweli.
Si wasenge hao vichwa vyao vimejaa Gono na UTI muda wote ndo wanachowaza ,utembee na demu mwezi upite ndo uone dalili za Gono nahisi hawalijui Gono vizuri😀😀
 
Back
Top Bottom