Hiyo
Katumia lugha ya picha ktk kichwa cha habari yake kwanini kaweka mkazo wa muwasho katika mboo kama ilikuwa mwili mzima mbona hajaweka mkazo katika goti au pua huyu ana gono tu
Na magono yapo mengi kuna Gono la
Neisseria Gonorrhoea hapa utapata Gono la kisonono hapa usahaa unakuhusu
Kuna Gono la treponema Pallidum hapa utapata kaswende
Kuna Gono la haemophilus ducreyi hapa utapata pangusa
Kiugupi magono yapo mengi inategemea unaekutana nae amekupa gono gani vijana oeni la sio haya magono yatawatafuna sana madada wa Leo wapo kimsalahi mtu mmoja anawapangq folen mchana yupo na Huyu jioni yupo na yule kesho asubuh yupo kwako